Twiga kauzwa sembuse vitambulisho hii ndo Tanzania banaaa!!!!!!!!!!!
vitambulisho ni bure kwa watanzania,kwa wageni si bure
Twiga kauzwa sembuse vitambulisho hii ndo Tanzania banaaa!!!!!!!!!!!
Wanaviuza stationary ipi Ngoiva?
Hata Mi nimeshamsikia huyu waziri nakinena haya ya kwamba haviuzwi kamwe!
Hebu nipe mwelekeo ulipo stationary yenyewe inayouza nikavione!
mkuu liver, kama uko arusha, tembelea kata ya TERRAT, KIJIJI CHA MKONOO pale centre.
Wandugu hili nimeuliza baada ya kuona vikiuzwa kwenye stationary moja hapa A.town. Ila niliwahi kusikia waziri wa mambo ya ndani akisema vitatolewa BURE. Naomba jibu.