Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Kama ww ni bubu, kweli utaweza kucheka kutokana na hawa comedian wa hapa kwetu? Au kama mm nisiyejua kizungu naweza kufurahika na comedy zao zinazotawaliwa na maneno, sidhani.
Lakini acha nije kwa mtu mzima wa kale Charle Champlin (chale champion) au Mr Been ambao ni full maaction mwanzo mwisho. Uwe mchina, muhindi, bubu, mswahili, mwarabu, kiziwi huwezi kufurahi kupitia hawa? Sijuwi kwa kuwakubali kama hawa, ndo nikiwa sicheki hata za humu!!!
Lakini acha nije kwa mtu mzima wa kale Charle Champlin (chale champion) au Mr Been ambao ni full maaction mwanzo mwisho. Uwe mchina, muhindi, bubu, mswahili, mwarabu, kiziwi huwezi kufurahi kupitia hawa? Sijuwi kwa kuwakubali kama hawa, ndo nikiwa sicheki hata za humu!!!