Kyaratu
Member
- Nov 16, 2011
- 40
- 11
jmn nilikuwa na mpenzi na nilikuwa nina mpenda cna kuliko chchte ila cha kushangaza ghafla alipotea ktk mazingira ya kutatanisha kwenye cmu hapatikani kweny facebook haonekani kweny badoo simuoni nilikutana nae once ila cjawahi kulala nae i mean ku do anaisha A twn kwakwe ckujui ila ndo nilikuwa na mpango wa kwenda ila yy anamjua mpaka mama