Hivi unakubaliana na kauli kwamba Mwendokasi wanajiendesha kwa hasara?

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,068
18,073
Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara

Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
 
Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara

Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Jiandaeni kwa kupandishiwa nauli ,hizi ni za chini ya kapeti nauli itskuwa kati ya tsh 800 na tsh1000 wanafunzi sh400
 
IMG_1431.jpg

IMG_1430.jpg

IMG_1429.jpg
 
Halafu mjue nyie watu wazima mnatupeleka shimoni mmekalia majungu tu na uzembe tu pumba#"&u zenu
 
Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara

Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Na namna wanavyowaacha abiria vituoni na kupitisha magari matupu kutoka Kimara hadi Jangwani, ni lazima kweli hasara iwepo.
 
Kwahiyo Atcl inavyopata hasara haina wateja? Kwahiyo Tanesco pia haina wateja? Kijana uwe ugoogle hata mara moja moja kwa mwezi uondoe hizi aibu ndogo ndogo.
Wateja ndo input namba moja kwenye biashara , kama una wateja halafu unapata hasara maana yake ni kuwa una mfumo dhaifu.
Hao Tanesco , Atcl wote hawakustahili kupata hasara kama wangekuwa na mfumo madhubuti
Miaka flani kivuko cha kigamboni kulikuwa kinapata hasara pamoja na nyomi lote lile!
 
Kwahiyo Atcl inavyopata hasara haina wateja? Kwahiyo Tanesco pia haina wateja? Kijana uwe ugoogle hata mara moja moja kwa mwezi uondoe hizi aibu ndogo ndogo.

Hebu tupe mapato ya mwendokasi tokea ilipoanzishwa, pamoja na mchanganuo wa matumizi tulinganishe na thamani ya huo mradi ndio upatikiwe majibu ya hayo maswali yako!
Halafu hivi Tanesco nayo inajiendesha kwa hasara...!?
 
Back
Top Bottom