nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
Ewe Mtanzania mwenzangu ,nimekuja na swali,hv unajua utajiri wako upo wapi?of course ninatambua kuwa most of tz wana-akili na hawajapata muda wa ku-expound their brains kama source ya utajiri wao...swala langu kubwa muda huu ni kuhusu utajiri wetu wa mali asilia,vivutio vyetu,milima,mabonde ,mito na maziwa,je unajua kuwa ni utajiri wko?hv wapendwa unaelewa kuwa tz ni craddle of human being ?hv unatambua kuwa unaweza kutembelea tz nzima ukiwa kijiji cha makumbusho kwa siku moja tu?eti wapendwa umeshawahi kutembelea hata kambuga kamoja ka wanyama au unaishia sema mikumi,serengeti,manyara zipo tz,tz gani hyo?hv unajua kuwa bagamoyo kuna a lot that can tell abt man?unajua kuwa wewe ni tajiri au?