KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,173
- 33,066
Wazungu hawakuleta ugali bali walileta mahindi... Waafrika ndio wameyageuza mahindi kuwa ugali.. ni ubunifu tu wa kimapishi
Sisi kigoma tulikuzwa na ugali wa muhogo,nyange na lowe je tuna akili tofauti na wasukuma?Unaposema ugali fafanua ni ugali upi, ugali wa nini.
Kuna Ugali wa mahindi ya aina tofauti...
Kuna ugali wa ulezi, mtama, mchele, ndizi, viazi, ngano, mhogo nk
Dah....kuna ugali wa Juma Necha pia...usisahauUnaposema ugali fafanua ni ugali upi, ugali wa nini.
Kuna Ugali wa mahindi ya aina tofauti...
Kuna ugali wa ulezi, mtama, mchele, ndizi, viazi, ngano, mhogo nk
Ugali wenye akili huo vit.AWeka picha tuone.
Loooh salaleee!!Haya mliokuwa mnaulizia picha,hii hapa.Wanaotaka picha ya ugali ndo huu
View attachment 1704033
Mihogo nayo alileta Mreno haina asili ya AfricaKula miogo mibichi na nyama poli mbichi, maana ng'ombe,mbuzi,kuku wote ni toka ubeberuni
TUNA fish,ina omega 3,tatizo watu wa uchumi wa Kati tunanzisha Tax collection task force na kusahau formula nzima ya chakula sahihi Cha uchumi wa katiSisi kigoma tulikuzwa na ugali wa muhogo,nyange na lowe je tuna akili tofauti na wasukuma?
Wapogoro/ wanyakyusa kyela chakula chao kikuu ni mchele je wana akili tofauti na wagogo?
Wakinga hula ugali wa ngano na mikate ya ngano aka mikate ya kikinga, je wana akili kulikp makabila mengine?
Na maharagwe.Tena ugali na dagaa
ameshanijibuAkikujibu nistue
Mihogo ililetwa na wareno🤣🤣Kula miogo mibichi na nyama poli mbichi, maana ng'ombe,mbuzi,kuku wote ni toka ubeberuni
Ninadhani kama tutafanya utafiti, watu weusi wa Egypt ndio walio anza shughuli za ufugaji. Fanya utafiti kuhusu hiloKula miogo mibichi na nyama poli mbichi, maana ng'ombe,mbuzi,kuku wote ni toka ubeberuni
ugali wa mahindi ni chakula cha mifugoUkistaajabu ya musa utaona ya firauni.
Piga ua utacheza ngoma ya mabeberu tu
Hivi unajua kwamba Ugali uliletwa na mabeberu Afrika?
Someni mahindi waliintroduce kina nani.
Ndio maana ugali umegandisha akili zetu waafrica ugali sio chakula asilia kabisa sio chakula asilia.
Utasikia watu wakiwacheka wasiokula ugali kwamba eti hawana nguvu.....Wakati ukila ugali ndo mbaya zaidi...ndo maana Africa tumeshindwa kuchangamsha bongo zetu kwasababu ya ugali.
Usikute ndo maana hatujui kufikirisha bongo zetu maana before haijawa introduced africa ilikua vizuri sana tulikua tunanyanyuka kwa kasi lakini toka watu waanze kula mhh!ugali sio nzuri hata kidogo.
Utasikia mtu akitamba kwamba yeye ni mwafrika asilia ndo maana anakula ugali na akiona watu wa mabara mengine wasiokula ugali kama watu dhaifu na legelege wewe nani kakuambia?ugali ni product ya mabeberu sio chakula cha asili.