Hivi ukitaka kufanya mapenzi na mke/mpenzi wako unamwambiaje?

hakuna urasmi wa maneno.Ukikua utajikuta unamwambia na una do na utajishang'aa umemwambia nn.vuta subira kdogo utajua t uuu
 
he he hivi vitu havihitaji maneno,mara nyingi vitendo humaliza kazi..mara nyingine namrukia hewani nakumpa live,wife nina nyege kishenzi niandalie kitu hiyo
 
he he hivi vitu havihitaji maneno,mara nyingi vitendo humaliza kazi..mara nyingine namrukia hewani nakumpa live,wife nina nyege kishenzi niandalie kitu hiyo

ebwanaae nimeipenda hiyo ndio inavyotakia kuwa muwazi kama hivyo big up dr.
 
Ni kumpa ukweli tu kuwa unahamu ya kufanya tendo, maana ukikaa kimya anaweza kukuuliza hamu zako unazimaliziaga wapi?
 
Mwanaume anauliza hivi kweli?? Mi naamini hakuna Universal way ya kusema au kufanya,different guys have different moves.
 
Mie huwa najikuta nipo kwenye 18, afu ndio naanza kujiuliza hivi tulianzaje anzaje...
 
Back
Top Bottom