Hivi TBS na FCC wapo kweli Tanzania?

RoadLofa

JF-Expert Member
Mar 22, 2017
1,347
2,957
Hivi TBS wapo kweli Tanzania?

Maana sio kwa ujinga huu niliokutana nao, yaani nimeenda dukani nikaagiza nipewe kipande cha sabuni cha white wash cha tsh 700 nikapewa bila kuangalia vizuri kufika ghetto nikakifungua na kuanza kufua baada ya kuitumia kama nusu saa sioni povu lolote wala kutakatisha vizuri.

Nikaona ebu ngoja nicheck ganda lake lililofungiwa nililolitupa aisee ni utapeli mtupu ganda limeandikwa super wash na linamuonekano wa white wash kabisa hadi sabuni imewekwa kama white wash kabisa ndio kitu kilichomchanganya muuzaji badala ya kunipa white wash akanipa soft wash kutoka kampuni ya Mo Dwejji, Metal aisee Mo anachokifanya sio kizuri na ni utapeli kwa wateja na kuijumu kampuni inayozalisha white wash.

Bora hata sabuni anayozalisha kwa kutumia advantage ya white wash ingekuwa ni nzuri basi ila ni utapeli mtupu.

Mo kwa muda mrefu amekuwa atumii fair competition kwa kampuni nyingine kwa kwa kampuni yake Kutumia mbinu ovu za kuvizia wenzake watumie mbinu na gharama kuteka soko Kisha yeye kuwacopy na kutoa bidhaa zenye sura kama za wenzake ili awachanganye wateja wanunue zake kitu kinachopelekea kampuni nyingine kuwa na market share ndogo

Metl walishapelekwa mahakamani mara kadhaa kwa kucopy brand products za watu mara kadhaa kama vile kleesoft nk na hii naomba iwe case yake nyingine

Metl wajitafakari kwa Kutumia mbinu za kitapeli na kihuni kuwaumiza walaji wa Tanzania, hivi TBS wapo kweli Tanzania au wanakazi ya kupokea rushwa kupitisha bidhaa fake Tanzania, hii si mara yangu ya kwanza kukutana na mkasa wa bidhaa ambazo hazifai kuwepo sokoni, kuna siku pia niliwahi kununua mswaki ambao haufai kushafishia kinywa yaani ukipigia tu unaweza umiza fizi.

Uwa najiuliza hivi TBS uwa wanajaribu kuzitumia bidhaa kabla ya kuzipitisha?

Na kama uwa wanazipitisha wanazifuatilia mtaani na kupata maoni ya watumiaji?

PXL_20240222_060856245.jpg
 
Kanjibai kawa kama mchina vile kazi yake ni kutoa copy ya bidhaa zinazofanya vizuri nae anapita humo humo
 
Ivi TBS Wapo Kweli Tanzania?

Maana sio kwa ujinga huu niliokutana nao yaani nimeenda dukani nikaagiza nipewe kipande cha sabuni Cha white wash Cha tsh 700 nikapewa bila kuangalia vizuri kufika ghetto nikakifungua na kuanza kufua baada ya kuitumia kama nusu saa sioni povu lolote Wala kutakatisha vizuri

Nikaona ebu ngoja nicheck ganda lake lililofungiwa nililolitupa aisee ni utapeli mtupu ganda limeandikwa super wash na linamuonekano WA white wash kabisa Hadi sabuni imewekwa kama white wash kabisa ndo kitu kilichomchanganya muuzaji badala ya kunipa white wash akanipa soft wash kutoka kampuni ya Mo dwejji,Metal aisee Mo anachokifanya sio kizuri na ni utapeli kwa wateja na kuijumu kampuni inayozalisha white wash

Bora ata sabuni anayozalisha kwa Kutumia advantage ya white wash ingekuwa ni nzuri basi ila ni utapeli mtupu

Mo kwa muda mrefu amekuwa atumii fair competition kwa kampuni nyingine kwa kwa kampuni yake Kutumia mbinu ovu za kuvizia wenzake watumie mbinu na gharama kuteka soko Kisha yeye kuwacopy na kutoa bidhaa zenye sura kama za wenzake ili awachanganye wateja wanunue zake kitu kinachopelekea kampuni nyingine kuwa na market share ndogo

Metl walishapelekwa mahakamani mara kadhaa kwa kucopy brand products za watu mara kadhaa kama vile kleesoft nk na hii naomba iwe case yake nyingine

Metl wajitafakari kwa Kutumia mbinu za kitapeli na kihuni kuwaumiza walaji WA Tanzania,ivi TBS Wapo Kweli Tanzania au wanakazi ya kupokea rushwa kupitisha bidhaa fake Tanzania,hii si mara yangu ya kwanza kukutana na mkasa WA bidhaa ambazo hazifai kuwepo sokoni,Kuna siku pia niliwahi kununua mswaki ambao haufai kushafishia kinywa yaani ukipigia tu unaweza umiza fizi

Uwa najiuliza ivi TBS uwa wanajaribu kuzitumia bidhaa kabla ya kuzipitisha?

Na kama uwa wanazipitisha wanazifuatilia mtaani na kupata maoni ya watumiaji?

View attachment 2913049
Usikute ulifua kwa kutumia hard water..!!
 
Hata mimi niliwaza hivi...

Lakini ukimsoma vizuri unaona analalamika juu ya ufanisi hafifu wa sabuni type A kulinganisha na ufanisi sahihi wa sabuni type B....

Hivyo factor ya maji magumu ni kama haipo...
Inawezakana..!! ila tu kama maji ni yale yale kwa sabuni zote alizozitumia
 
Hivi TBS wapo kweli Tanzania?

Maana sio kwa ujinga huu niliokutana nao, yaani nimeenda dukani nikaagiza nipewe kipande cha sabuni cha white wash cha tsh 700 nikapewa bila kuangalia vizuri kufika ghetto nikakifungua na kuanza kufua baada ya kuitumia kama nusu saa sioni povu lolote wala kutakatisha vizuri.

Nikaona ebu ngoja nicheck ganda lake lililofungiwa nililolitupa aisee ni utapeli mtupu ganda limeandikwa super wash na linamuonekano wa white wash kabisa hadi sabuni imewekwa kama white wash kabisa ndio kitu kilichomchanganya muuzaji badala ya kunipa white wash akanipa soft wash kutoka kampuni ya Mo Dwejji, Metal aisee Mo anachokifanya sio kizuri na ni utapeli kwa wateja na kuijumu kampuni inayozalisha white wash.

Bora hata sabuni anayozalisha kwa kutumia advantage ya white wash ingekuwa ni nzuri basi ila ni utapeli mtupu.

Mo kwa muda mrefu amekuwa atumii fair competition kwa kampuni nyingine kwa kwa kampuni yake Kutumia mbinu ovu za kuvizia wenzake watumie mbinu na gharama kuteka soko Kisha yeye kuwacopy na kutoa bidhaa zenye sura kama za wenzake ili awachanganye wateja wanunue zake kitu kinachopelekea kampuni nyingine kuwa na market share ndogo

Metl walishapelekwa mahakamani mara kadhaa kwa kucopy brand products za watu mara kadhaa kama vile kleesoft nk na hii naomba iwe case yake nyingine

Metl wajitafakari kwa Kutumia mbinu za kitapeli na kihuni kuwaumiza walaji wa Tanzania, hivi TBS wapo kweli Tanzania au wanakazi ya kupokea rushwa kupitisha bidhaa fake Tanzania, hii si mara yangu ya kwanza kukutana na mkasa wa bidhaa ambazo hazifai kuwepo sokoni, kuna siku pia niliwahi kununua mswaki ambao haufai kushafishia kinywa yaani ukipigia tu unaweza umiza fizi.

Uwa najiuliza hivi TBS uwa wanajaribu kuzitumia bidhaa kabla ya kuzipitisha?

Na kama uwa wanazipitisha wanazifuatilia mtaani na kupata maoni ya watumiaji?

View attachment 2913049
acha kulalama
chukua icho ulichouziwa nenda navyo ofisini kwao
 
acha kulalama
chukua icho ulichouziwa nenda navyo ofisini kwao
Ukiona dogo ananunua vipande jua ndio kwanza anajitafuta hapo umeongea kirahisi aende ofisini kwao angekua na hizo nauli si angenunua Omo tu afue bila tabu shida wabongo mkishiba kidogo hamjui shida za wengine..
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Back
Top Bottom