Saskatchewan
Senior Member
- Oct 16, 2011
- 148
- 21
Kila kukicha utasikia wamachinga wanakwaruzana na serikali kutokana na kufanyia biashara maeneo ambayo hayaruhusiwi. Hii inatokeaje wakati kuna watu wameajiriwa kwa ajili ya kazi hiyo? Kama wapo wanapatikana wapi? Mipango miji wanasababisha matatizo mengi sana yanayorudisha nyuma maendeleo!