Hivi TANESCO tatizo ni nini tena!

Ksuley

JF-Expert Member
Dec 18, 2015
1,166
445
Tokea Jana Maeneo Yetu Ya Kitunda Dar, Huduma Ya Upatikanaji Wa Umeme Ni Shida Tupu!!!! Ilianza Jana Saa 2.50 Usiku, Ukarejea Saa 4.48 Usiku, Lkn Saa 12 Asbh Tu Umekata Hadi Saa 1 Usiku!! Baada Ya Hapo Imekuwa Ni Kata Rudisha Za Ya Mara 3!! Hivi Sasa Tunasikilizia Tu!!! Sasa Sijui Tatizo Ni Nini Tena, Mvua Ndio Hizi Na Gesi Bwerere!!!!
 
Mkuu hata sisi hapa kariakoo huu mtaa wa narungo'mbe kwa tanzania hii unaongoza kwa kukatiwa umeme .
Tunauhakika kama ingekua kuna zawadi ya mashindano ya kukatika umeme ,basi mtaa huu ndio unastahiki kupewa
 
Uko kote cha mtoto njooni arusha huku ni majanga, balaa,disaster, calamity vyote kwa pamoja kuna siku nilihesabu in 24 hours walikata na kurudisha mara kumi na moja!Ishhh!Leo naona hamna ukataji sijui kwa sababu mtenguaji watu yupo ila nadhani sio bure mtenguaji inabidi akae kae kidogo tupone manake aaaagh!
 
Back
Top Bottom