Lakini naona kama ni Dubai tu ndio kuna hayoIraq na Lebanon pombe kama kawaida na wanawake wa how much kibao mitaani!Siyo nchi zote za kiarab watu hawali raha
Beirut au Iraq ya zamani ya Saddam au pale Millenium Hotel Dubai kuna malaya wa Kirusi na ki kiethiopia na wale wa Asia hata Africa haiingii!Pombe Dubai zinauzwa kuanzia alfajir
ZipiStarehe zipo kila aina ila wao nchi zao ni jangwa muda msingi wa shopping na market ni usiku kuliko mchana ndio unaona kama hamna starehe lkn wametuzi wao wanastarehe kuliko bongo
Tope?,ndio nn?Huko masela wanatumia hela zao kununua ndinga za maana kama Buggati, maybach na ferrari alafu wanatimua mbio kwenye tope,
aisee washkaji sio siri, starehe yao kubwa ni kuchezea tope tu...
Wasiokuwa waislamu wengi mmejaribu kuuongelea vibaya uiaslam ,mnaupiga vita lakn matokeo siku zote ni tofauti ,uislamu unakuwa kuliko kawaida na watu wengi wanaingia kwenye uislamu na the gud thing wanaingia kwa sababu hasa za kuamini kuwa ni dini ya haki kutokana na jinsi walivyoosoma sio kama nyinyi mnawabidilisha watu dini kwakuwa hawna chakula,au ignorance yaoNimecheka bureee.,ati mabikira sabini .,!!! huuu ujinga upo mtu anafundishwa haya....
Muddy akili nyingiHahaha...acheni maskhara
Yaani mkose mvinyo duniani huko Akhera nani atakuwa na muda wa kuandaa kwa waumin wote?
Ila hapo Mudy aliwapiga changa la macho bana.
Sheikh...Starehe nyingi ni Anasa ila ndio starehe zenyewe....hii ni duniaYani yale mambo ya maasi kwa bila aibu mkristo anayaita ni starehe ambayo anaona waislamu wanaikosa starehe hiyo.
Kwa maana hiyo haya Maasi ndiyo starehe za wakristo.
Starehe zipo na sio kama vile watu wanavyosema kua nchi za kiarabu hakuna starehe..Habarini Wadau,
Sijawahi kufika katika nchi za kiarabu haswa, namaanisha nchi kama Saudi Arabia, Yemen, Iran,Iraq, Morocco n.k
ILA, niliwahi kuambiwa mara kwa mara kuwa nchi nyingi za kiarabu zinakuwa na pesa nyingi za mafuta kwani huwa hawaspend pesa zao katika:-
◆ Kuimport Wines hasa za Russia katika nchi zao.
◆ Hawana Night clubs na zinapigwa marufuku kabisa
◆ Huko hakuna wanawake wanaojiuza mitaani ili kununuliwa na kutumiwa.
◆ Hakuna bar
◆ sidhani kama wana fukwe, na kama wanazo wanawake wataenda huko na Hijab kweli? Kwakuwa hawaruhusiwi kubaki na vyupi
◆ Michezo ya Wanawake kama Tenis hakuna kutokana na nguo zivaliwazo
◆ Hakuna mashindano ya walimbwende zaidi ya yale ya juzi juzi ya kuvaa hijab hivyo hata kuona umbile la mwanamke iwe mtaani au stejini hakuna.
Je Starehe huko Uarabuni ni kuwa na wake wengi tu na kupikiwa chakula chenye nakshi nakshi?
Kuna starehe gani tena huko hasa kwa Wanawake wa kiarabu?
Wanatumiaje pesa zao kujistarehesha?
Msaada Tafadhali.
Kwa hiyo waislamu wanaishi maisha ya hivyo hapa duniani kwa sababu ya kukatazwa kufanya hayo maasi ambayo unaita ni starehe?Ndiyo maana TRUMP aliposema wote warudi kwao wanalia lia sn,,
Hakuna Starehe Arabuni,, ila eti starehe zote wameahidiwa kuzipata peponi kwao.
Huko watapata mabikra 72,, watapata mito ya ulevi,, aidha wameahidiwa kugegeda bila kuchoka,,
Ahadi zooote hizo wameahidiwa wanaume tu wamama hakuna inayowahusu hata moja hapo. Hivyo Wanaishi maisha ya hivyo kwa kutegemea ahadi ya Peponi kwa Allah wao.
Nishakuwa sheikh tena!Sheikh...Starehe nyingi ni Anasa ila ndio starehe zenyewe....hii ni dunia
Cha ajabu zaidi ni kwamba hata Waislam waumin wanazipenda hizo starehe sana