Kwanini Serikali inakuwa nzito sana kusilikiliza mahitaji ya wasomi wetu wa baadae? Sasaivi ni siku ya ngapi tangu Chuo Kikuu waanze kuandamana, na bodi ya mikopo imekaa kimya, sasa mnataka wafanye nini ili mjue kwamba wako siriazi?
Kwanini mnakuwa wazito ku-address mahitaji yao ndani ya muda sahihi? Wapeni basi hata angalau haki ya kusikilizwa, wanaweza kutulia na kuendelea na masomo. Anaweza akatoka kiongozi yoyote kutoka Bodi, Wizara ya Elimu, au Mkoani (Afisa Elimu wa Mkoa) kusikiliza shida za wanafunzi alafu akazipeleka kwa wahusika kwa ajili ya kufanyia maamuzi ndani ya muda ambao watampa wanafunzi. Its very simple like that.
Ngojangoja yaumiza matumbo mwishowake kuumizana na vurugu ambazo majeraha yake yanaweza yakasababisha ulemavu. Serikali ya Misri (na ile ya Ethiopia kipindi fulani), imefumbia macho matatizo ya watu, mwishowe ndo yanawatokea puani. Never under-estimate an intellectual mind.
Note that, mnapoacha kutatua matatizo ya wananchi hadi waandamane kwa vurugu, mnawajengea tabia ya kudai haki zao kwa vurugu. Na polisi wakiwapiga, next time, watajiandaa kupambana nao. Mwishowe vurugu juu ya vurugu, matokeo yake wageni wataogopa kuja kusoma Tanzania, Mapato sekta ya utalii yatashuka, Wasomi wetu nje ya nchi wataonekana wamesomea kwenye vurugu, Wanachi wataanza kukosa imani na Serikali yao, Magharibi wataanza kuingilia siasa za ndani ya nchi yetu etc., Again, Never under-estimate an intellectual mind.
Kwanini mnakuwa wazito ku-address mahitaji yao ndani ya muda sahihi? Wapeni basi hata angalau haki ya kusikilizwa, wanaweza kutulia na kuendelea na masomo. Anaweza akatoka kiongozi yoyote kutoka Bodi, Wizara ya Elimu, au Mkoani (Afisa Elimu wa Mkoa) kusikiliza shida za wanafunzi alafu akazipeleka kwa wahusika kwa ajili ya kufanyia maamuzi ndani ya muda ambao watampa wanafunzi. Its very simple like that.
Ngojangoja yaumiza matumbo mwishowake kuumizana na vurugu ambazo majeraha yake yanaweza yakasababisha ulemavu. Serikali ya Misri (na ile ya Ethiopia kipindi fulani), imefumbia macho matatizo ya watu, mwishowe ndo yanawatokea puani. Never under-estimate an intellectual mind.
Note that, mnapoacha kutatua matatizo ya wananchi hadi waandamane kwa vurugu, mnawajengea tabia ya kudai haki zao kwa vurugu. Na polisi wakiwapiga, next time, watajiandaa kupambana nao. Mwishowe vurugu juu ya vurugu, matokeo yake wageni wataogopa kuja kusoma Tanzania, Mapato sekta ya utalii yatashuka, Wasomi wetu nje ya nchi wataonekana wamesomea kwenye vurugu, Wanachi wataanza kukosa imani na Serikali yao, Magharibi wataanza kuingilia siasa za ndani ya nchi yetu etc., Again, Never under-estimate an intellectual mind.