C.T.U JF-Expert Member Jun 1, 2011 5,070 3,718 Apr 6, 2012 #1 Kama kakata mawasiliano nae niunganishe na ili pasaka yangu hii iende vizuri
kichwat JF-Expert Member Mar 4, 2010 1,819 587 Apr 6, 2012 #2 ... Labda umuulize huyo dada kama anamawasiliano na Etoo, itakuwa rahisi zaidi kupata jibu
C.T.U JF-Expert Member Jun 1, 2011 5,070 3,718 Apr 6, 2012 Thread starter #3 kichwat said: ... Labda umuulize huyo dada kama anamawasiliano na etoo, itakuwa rahisi zaidi kupata jibu Click to expand... jf raha sana unapewa jibu la kukasirisha then unabaki unacheka mwenyewe.. Ndio yamenitokea sasa hivi
kichwat said: ... Labda umuulize huyo dada kama anamawasiliano na etoo, itakuwa rahisi zaidi kupata jibu Click to expand... jf raha sana unapewa jibu la kukasirisha then unabaki unacheka mwenyewe.. Ndio yamenitokea sasa hivi
dubu JF-Expert Member Oct 18, 2011 3,496 3,461 Apr 6, 2012 #4 kipindi kile eto'o amekuja bongo na cameron mademu wa kibongo walimtolea macho sana