kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,573
- 12,671
Kwema wakuu,
Yapata miezi 4 sasa tangu watu tutume applications za taasisi tajwa hapo juu lakini wahusika ni wako kimya tu hawaiti watu kwenye usaili.
Hivi karibuni zimeibuka tuhuma mbalimbali kutoka kwa wadau kuwa kuna watu kutoka hizo taasisi tajwa hapo juu wameajiriwa kimya kimya bila hata kufanya interview kama ilivyozoeleka.
Pamoja na ukimya wa PSRS mtu unapata mashaka maana hii bongo lolote linawezekana.kwa hiyo tunawataka na wala sio kuwaomba nyie PSRS mtoe majina haraka sana watu wafanyiwe usaili kwa nafasi walizoomba katika fair grounds na wala sio kwa kuvujisha mitihani kama mfanyavyo sasa hivi.
Yapata miezi 4 sasa tangu watu tutume applications za taasisi tajwa hapo juu lakini wahusika ni wako kimya tu hawaiti watu kwenye usaili.
Hivi karibuni zimeibuka tuhuma mbalimbali kutoka kwa wadau kuwa kuna watu kutoka hizo taasisi tajwa hapo juu wameajiriwa kimya kimya bila hata kufanya interview kama ilivyozoeleka.
Pamoja na ukimya wa PSRS mtu unapata mashaka maana hii bongo lolote linawezekana.kwa hiyo tunawataka na wala sio kuwaomba nyie PSRS mtoe majina haraka sana watu wafanyiwe usaili kwa nafasi walizoomba katika fair grounds na wala sio kwa kuvujisha mitihani kama mfanyavyo sasa hivi.