Hivi ni kweli Tanzania hakuna kiwanda cha pamba za masikio?!

Poor tanzania miaka 50 ya uhuru tunazungumzia kiwanda cha toothpick tuko nyuma sana wenzetu uchina tulioanza nao mbio wametulamba gepu la maana cc tunaongelea kuchonga dawati? Binafsi xna imani na wanaoitwa wawekezaji wiiiiiz mtupu
 
Mijitu mingine kaz kulalamika tu.sasa hauoni hyo kama ni fursa ili uanzishe wewe??

Viwanda vipo Na vilikuwepo Na vitaendelea kuwepo ,ukiona tuna export kitu ujue tumeona jamaa wanacompetitive advantage hivyo cha kwetu kitakuwa bei kuliko chao bt si kwamba tunashindwa.
 
Serikali yetu ikikubali kuanza kidogo kidogo inaweza kabisa. Tunaazima teknolojia halafu tunatengeneza cha kwetu chenye chapa 'brand' yetu na kukipeleka sokoni na kama sokoni vipo vinavyofanana nacho tunaipa ruzuku na kuwa sawa na zile nyingine mpaka tuwapite kwa ushindani, baada ya hapo uingiaji wa bidhaa hiyo utashuka na sisi tutatawala soko letu na kuanza kufikiria soko la nje.
 
Mijitu mingine kaz kulalamika tu.sasa hauoni hyo kama ni fursa ili uanzishe wewe??

Viwanda vipo Na vilikuwepo Na vitaendelea kuwepo ,ukiona tuna export kitu ujue tumeona jamaa wanacompetitive advantage hivyo cha kwetu kitakuwa bei kuliko chao bt si kwamba tunashindwa.

Majibu ya jumla kama haya yanaonesha upeo mfupi sana. . . . . .na labda ndio mkwamo ulipo
Competitive advantage ina factors . . . . . . ,hebu tuwekee sie vilaza tujiridhishe
 
Back
Top Bottom