Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
SnowBall
msome pacha wako snowhite kwenye signature
yake. Kongosho akina mama tunamajukumu makubwa
sana ya kaufanya nyumba kuwa mahali pazuri pa kuish na hii hupelekea
kuwa ndani ya lawama nyingi zaid.
but pia kuna wanaume ambao wao hutumia hili kama njia ya kufanya uasi
wao. to me mwanaume anayefanya haya namweka katika haya makundi
1) mvivu wa kufikiri yaani muda wote hutegemea mkewe amuwazishe ampe
akili ila kufikiri kama yeye hawez
2)mbinafsi huyu anajipenda zaid yeye na huwaza katika kila jambo
atafaidika nini zaid kuliko the rest of the family. hawa hawajali
ugonjwa wala uchovu wa mwanamke.
3) mchoyo wengi wa wanaume wa aina hii ni wachoyo yaani ni wanyimi sana
kwenye kila kitu na ndio maana hawaoni shaka kama wake zao
watadhalilaika kwa makosa yao.
4) mdhalilishaji huyu haoni hurum ama hana soni kwamba kosa hili
litamdhalilisha mke wangu. na huwa ni wepesi hata wa kusikiliza watu
wakicomplain kuhusu mke na kisha kwenda kumsema mkewe sana juu ya lile
alilosikia.
all its all wanaume wa aina hii kiukweli wanatia uvivu sana kuish
nao.
Wanaume wengine majanga kweli,yaani ku cheat tu ndio hasubiri kushauriwa na mkewe.
Last edited by a moderator: