mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 5,626
- 7,406
Daaah aise pale nure na matikon ndiyo balaa hadi tumeganda jombaaMasama ng'uni miliman dah umenikumbusha mbal sana aiseee
Daaah aise pale nure na matikon ndiyo balaa hadi tumeganda jombaaMasama ng'uni miliman dah umenikumbusha mbal sana aiseee
Huko jua na mvua kwa siku zinapokezanaDaaah aise pale nure na matikon ndiyo balaa hadi tumeganda jombaa
Niitikie ndio "nimenuna" ili useme wanaume hawanuni?Kwa madai yako upo kwenye mnuno🤣🤣🤣 Agiza kinywaji baridi chochote nitalipia
Hatariiii Sana nakuja huko daslam next weekHuko jua na mvua kwa siku zinapokezana
Sema vile vilima wakat wa mvua kupanda na kushuka na boda dahHatariiii Sana nakuja huko daslam next week
Mlima gan ulikua mkali kupandaSema vile vilima wakat wa mvua kupanda na kushuka na boda dah
hapo mbauda palivyo na vumbi sasaNa ndio hapa linachoma hatari
Ingekuwa 30 sijui View attachment 2786314
jualinazalisha barafu au? wee bibi qum ee?Kwani kuna aliyeongelea joto?
Hahahaha huwa mnanuna sana na mashavu yaliyotuna mithili ya mpuliza moto wa kuni zilizonyeshewa mvuaNiitikie ndio "nimenuna" ili useme wanaume hawanuni?
Niko na hasira na kinyongo tu inatosha😅
Nani tena anakaa Mbauda
Nimekunjua roho mama ,Hahahaha huwa mnanuna sana na mashavu yaliyotuna mithili ya mpuliza moto wa kuni zilizonyeshewa mvua
Hasira na vinyongo kwa mwanaume havikufai
Ukunjue moyo wako maisha ni haya haya usiyachukulie serious kiasi hicho