Hivi ni hapa Dar tu ndio jua linapiga kiasi hiki au ni Tanzania nzima?

Ms eyes Half american mnapata tabu sana

mimi huku walaaa
{45F4E862-A911-4100-849C-B07557BC58C6}.png.jpg
 
Niitikie ndio "nimenuna" ili useme wanaume hawanuni?

Niko na hasira na kinyongo tu inatosha😅
Hahahaha huwa mnanuna sana na mashavu yaliyotuna mithili ya mpuliza moto wa kuni zilizonyeshewa mvua
Hasira na vinyongo kwa mwanaume havikufai
Ukunjue moyo wako maisha ni haya haya usiyachukulie serious kiasi hicho
 
Hahahaha huwa mnanuna sana na mashavu yaliyotuna mithili ya mpuliza moto wa kuni zilizonyeshewa mvua
Hasira na vinyongo kwa mwanaume havikufai
Ukunjue moyo wako maisha ni haya haya usiyachukulie serious kiasi hicho
Nimekunjua roho mama ,
umeshinda🙌😅
 
Hatimaye nafaidi upandaji miti mingi kwenye makazi. Joto halizidi nyuzi 24 centigrade .Wastani Zanzibar ni 28 hadi 32 centigrade.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom