Kumbe bado kuolewa? Ngoja ni do the needful!
QUOTE]
Sina imani na online husband!Alafu nadhani unafahamu kuwa mimi ni SANA(single and not available)
najua unatania tu hapo kwenye red!halaf wewe kwa mataniSina imani na online husband!Alafu nadhani unafahamu kuwa mimi ni SANA(single and not available)
Hahahaha! Kiongozi nimecheka kwa sauti kubwa sana! Dah! Kwahiyo wale jamaa wanaweza kukutafunia mshikiz bila wewe na mshikiz kujua! Nikipata nauli ntaenda Ufipani........!!!wafipa ni noma zaidi!MWANAMKE kila akiamka anakuta kalowa.....!jamaa ni washirikina hadi kwenye tendo la ndoa
Mbona hiyo photo yako (juu kushoto) inakuonyesha mko na jamaa, na ndo hapo tunataka kujua aliombaje!Kumbe bado kuolewa? Ngoja ni do the needful!
QUOTE]
Sina imani na online husband!Alafu nadhani unafahamu kuwa mimi ni SANA(single and not available)
hapo umeonyesha uzoefu na ukomavu wa hali ya juu. asante mamaa.si mpaka akizaliwa ndo watu upumzika kidogo kama miezi au?
hehehehe!wale hawafai kiongozi!kama unabisha uliza wenyeji!adivataizi lao wale ni hatari kwelikweli!Hahahaha! Kiongozi nimecheka kwa sauti kubwa sana! Dah! Kwahiyo wale jamaa wanaweza kukutafunia mshikiz bila wewe na mshikiz kujua! Nikipata nauli ntaenda Ufipani........!!!
Mbona hiyo photo yako (juu kushoto) inakuonyesha mko na jamaa, na ndo hapo tunataka kujua aliombaje!
Hahahaha! Kiongozi unanivunjia mbavu zangu! Unafanya ukaguzi mpaka uvunguni? Charity please do ze nidful. Uliambiwaje mpaka ukakubali kuachia mambomambo?
PJ has a talent....he gives attention to the details.Mbona hiyo photo yako (juu kushoto) inakuonyesha mko na jamaa, na ndo hapo tunataka kujua aliombaje!
haya, charity majibu tafadhali.
Nimeiondoa senks yangu. Jamani ushirikina wa Tanga na bagamoyo ni kiboko.swanga ni kwema tu.wafipa ni noma zaidi!MWANAMKE kila akiamka anakuta kalowa.....!jamaa ni washirikina hadi kwenye tendo la ndoa
Wadau, ukiachilia na jinsi ya kuomba kwenye makabila, wenye ndoa ambao ni mmoja wao ni mchungaji wa kanisa la kiroho inakuwaje???
Nina imani kali sana ya kutazamia mambo yajayo.Kwa hiyo ninaishi kwa imani.Hiyo avatar ninaiangalia familia yangu miaka kadhaa ijayo.Ni kama Mungu alivyofanya;Mbona hiyo photo yako (juu kushoto) inakuonyesha mko na jamaa, na ndo hapo tunataka kujua aliombaje!
Kwa imani aliumba ulimwengu
kwa imani tulikombolewa..........
Kwa hiyo avatar isikusumbue sana......Nimejibu swali? kama bado usiofu kuniuliza.
Mama yeyoo alipata habari yake............ The rest labda mimba, huwezi jua.wamasai ni washenzi zaidi!kwanza wamehalalisha KUSHEA hadi wake zao....!wale huwa hawaongei sana.
MFANO HAI:
tukiwa kwenye treni maeneo ya ifakara walipanda wamasai tunakuja mjini.masai na mkewe waliona watu wanajinunulia vyakula njiani wananeemeka.mmasai alimfuata TIITII wa behewa na kumuuliza kama na yeye ANARUHUSIWA KULA CHAKULA!tiitii aliposema ruksa...!jamaa alirudi kwenye kiti na kumsaula mkewe AKAANZA KULA CHAKULA!.......unajua kilitokea nin?