BondJamesBond
Member
- Jul 6, 2011
- 85
- 60
Hii issue ya rushwa, umeme, politics kila sehemu, kodi za kutisha, bandari ambayo ni inefficient, mfumo wa kodi uliokaa kuwakandamiza wafanyabiashara na wawekezaji, mawasiliano duni..etc
hivi kweli mwenye akili timam ataweza kuwekeza pesa zake nchi hii?
hivi kweli mwenye akili timam ataweza kuwekeza pesa zake nchi hii?