Wakuacha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 2,041
- 1,323
Sana tu Mkuu.....nafikiri washatoa kazi ya police Ni nzuri...Kumbe mamwela wanapiga maisha kiroho safi hivi! Nina degree yangu ila bado nang'aa tu sharubu kitaa..ningejua ningeendaga hata umwera tu. Daah!!
Ajira za Polisi zinatoka lini wakuu?