Huu ni mradi wa wakubwa ndo maana hata Magufuli hapigi kelele kwenye huu mradi japokuwa una makosa Mengi ya wazi,kwa mfano hii barabara ni nyembamba na endapo utaongozana na lori kwenye kona itabidi uliachie lipite otherwise utapata hasara,siku moja nilimuuliza injinia mmoja wa wizara ya ujenzi kwa nini mnaziba hii mifereji mikubwa ya maji kwenye barabara kubwa kama ya morogoro road na mkaweka makaravati ambayo kwanza ni ngumu kwa nchi zetu kufanya kazi vizuri kutokana na uchafu mwingi kwa hiyo kila wakati inaweza ikawa inaziba,akaniambia hii barabara imetungiwa sheria kabisa kwa hiyo kila kitu kipo binded anasema wakati inaanza kutengeneza waliomba service road zote zitolewe matuta ili magari yapite kiurahisi lakini mkandarasi aligoma kwa sababu sheria inamlinda na wizara haiwezi fanya chochote,,,kwa hiyo walitunga sheria hiyo ya barabara makusudi ili iwalinde wale vizuri.