Hivi mradi wa DARTS aliubuni nani? Was it the best/cheaper option

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Nimekuwa nikitafakari namna ambavyo nchi yangu inaendeshwa naomba kuwashirikisha GT wenzangu juu ya potential white elephant iliyotengenezwa kwenye DARTS.
- Je ni kweli DARTS ilikuwa ndiyo best option (in terms of cost, efficiency and priority)ya kupunguza msongamano Dar?
- Je hizi nyumba za kusubiria wasafiri zilikuwa zina ulazima wa kujengwa kwa gharama kama ilivyofanyika sasa
- Je namna ambayo barabara zimejengwa itapunguza foleni kweli?

Kwa maoni yangu (I stand to be corrected), DARTS haitapunguza msongamano na huenda ikaongeza, na kama kweli mradi huu ulijadiliwa kwa mapana yanayostahili then kuna umuhimu wa watu waliodhani huu ndio mwarobaini wa msongamano wa magari Dar(ni muhimu kuwafahamu ili tuweze kujiridhisha na weledi wao, au hata IQ zao)

Kama ningekuwa mimi ningeanza na kujenga fly overs kwanza, then barabara za pembezoni kwanza na kama pesa bado ipo ningeimalisha usafiri wa reli ndani ya jiji la Dar pamoja na kuimalisha uchukuzi wa mizigo kutokea bandari ya Dar kwa kuweka dry port kubwa Ruvu au Mlandizi.
Ukiziwekea lami barabara za Kinyerezi-Mbezi Lousi, Makongo Juu-Goba, Tangi Bovu-Morogoro Rd, Mbagala-Kipawa/Banana/Ukonga utapunguza msongamano kwenye barabara ndani ya jiji la Dar kwa kiwango kikubwa na kwa gharama ndogo kuliko huu wendawazimu wa DARTS.
 
Ndugu yangu Ntemi masikitiko uliyo nayo nadhani tupo wengi kama wewe. Bila kumungunya maneno huu ni uchafu...ni njia tu yakufanyia ufisadi(wamezoea ndugu yangu upofu umewaingia).

Nimefurahi ulivyochambua... Mbadala wa huo uchafu wao...very simple but meaningful...nakushukuru sana.

Hawa viongozi watalaaniwa kwakuwatoa watanzania kafara nakuwaacha wateseke
 
Nimekuwa nikitafakari namna ambavyo nchi yangu inaendeshwa naomba kuwashirikisha GT wenzangu juu ya potential white elephant iliyotengenezwa kwenye DARTS.
- Je ni kweli DARTS ilikuwa ndiyo best option (in terms of cost, efficiency and priority)ya kupunguza msongamano Dar?
- Je hizi nyumba za kusubiria wasafiri zilikuwa zina ulazima wa kujengwa kwa gharama kama ilivyofanyika sasa
- Je namna ambayo barabara zimejengwa itapunguza foleni kweli?

Kwa maoni yangu (I stand to be corrected), DARTS haitapunguza msongamano na huenda ikaongeza, na kama kweli mradi huu ulijadiliwa kwa mapana yanayostahili then kuna umuhimu wa watu waliodhani huu ndio mwarobaini wa msongamano wa magari Dar(ni muhimu kuwafahamu ili tuweze kujiridhisha na weledi wao, au hata IQ zao)

Kama ningekuwa mimi ningeanza na kujenga fly overs kwanza, then barabara za pembezoni kwanza na kama pesa bado ipo ningeimalisha usafiri wa reli ndani ya jiji la Dar pamoja na kuimalisha uchukuzi wa mizigo kutokea bandari ya Dar kwa kuweka dry port kubwa Ruvu au Mlandizi.
Ukiziwekea lami barabara za Kinyerezi-Mbezi Lousi, Makongo Juu-Goba, Tangi Bovu-Morogoro Rd, Mbagala-Kipawa/Banana/Ukonga utapunguza msongamano kwenye barabara ndani ya jiji la Dar kwa kiwango kikubwa na kwa gharama ndogo kuliko huu wendawazimu wa DARTS.

Huhitaji kwenda darasa la Engineer kujua failure inayotokea pale morogoro road. Shame to all designer and poor them.
 
Kusema kweli Makirikiri kila nikifikiri namna uamuzi wa kujenga huu mradi nashindwa kuelewa vigezo walivyoangalia hadi wakaona hili ndilo suluhisho la changamoto ya msongamano Dar, hata kama ni wizi wangeonekana wajanja zaidi kama wangeiba na wanaowaibia wakapata angalau ka mkia.
Sidhani hata kama utaweza kukidhi mahitaji miaka mitano baada ya kuanza kutumika.
 
siku zote huwa nasikitishwa sanaa na watanzania kwa kuwa na majibu mepesi kwa critical issues. Nyumba ya Maskini huwa haiishi kujengwa. hata Mradi haujaisha tayari tumelalamika haijatolewa tathmini ya kitaalamu tayari tumejitwika utaalamu na ujuaji kibaooo jamani hebu muwaache wataalamu wamalize kazi yao ndio tuje tuanze kuwaambia kasoro kutokana na output yao. inasikitisha project iko at 55% watu tushalalamika sana na kinachosikitisha hizi barabara hata miaka 3 hazijamaliza ila ukizitazama ni kama za miaka 5 uchafu matofali kubomoka yaani ili mradi tu yote hii ni sababu ya kukosa ustaarabu tu. hata tujenge flyovers tuweke reli nzuri na kila kizuri kama hatutokuwa wastaarabu sisi wenyewe matatizo yetu hayatoisha. sote mashahidi uvunjanji wa taratibu za undeshaji vyombo vya moto unavyochangia foleni tena kiasi kikubwa ila tunaona udogo wa barabara kama a big issue. tumejengewa uwanja mzuriiii lakini watu wanavunja viti wanaharibu miundombinu mwisho wa siku watakuja wanalalamika hapa uwanja hauna ubora. hebu hata hivi vidogo tulivyonavyo tuvitumie kwa utaratibu na ustaarabu. tusipo badirika wenyewe hata ijengwe flyovers sijui treni ya Umeme hamna kituu. na tujifunze kuwa wavumilivu subili kitu kikamilike then uliza wataalamu ni kwanini output imekuwa tofauti na ulivyotegemea
 
You have said it all Foleni ubungo sasa ndio imekuwa worse, njia wamezibana sana Magari makubwa kupishana imekuwa hatari,hakuna shoulders,and no escape routes.cost is exorbitant,we just came from bad to worse with highly inflated costs.nawakilisha.
 
siku zote huwa nasikitishwa sanaa na watanzania kwa kuwa na majibu mepesi kwa critical issues. Nyumba ya Maskini huwa haiishi kujengwa. hata Mradi haujaisha tayari tumelalamika haijatolewa tathmini ya kitaalamu tayari tumejitwika utaalamu na ujuaji kibaooo jamani hebu muwaache wataalamu wamalize kazi yao ndio tuje tuanze kuwaambia kasoro kutokana na output yao. inasikitisha project iko at 55% watu tushalalamika sana na kinachosikitisha hizi barabara hata miaka 3 hazijamaliza ila ukizitazama ni kama za miaka 5 uchafu matofali kubomoka yaani ili mradi tu yote hii ni sababu ya kukosa ustaarabu tu. hata tujenge flyovers tuweke reli nzuri na kila kizuri kama hatutokuwa wastaarabu sisi wenyewe matatizo yetu hayatoisha. sote mashahidi uvunjanji wa taratibu za undeshaji vyombo vya moto unavyochangia foleni tena kiasi kikubwa ila tunaona udogo wa barabara kama a big issue. tumejengewa uwanja mzuriiii lakini watu wanavunja viti wanaharibu miundombinu mwisho wa siku watakuja wanalalamika hapa uwanja hauna ubora. hebu hata hivi vidogo tulivyonavyo tuvitumie kwa utaratibu na ustaarabu. tusipo badirika wenyewe hata ijengwe flyovers sijui treni ya Umeme hamna kituu. na tujifunze kuwa wavumilivu subili kitu kikamilike then uliza wataalamu ni kwanini output imekuwa tofauti na ulivyotegemea

Unamaanisha akina Nape na Kinana kutoka lumumba? Otherwise sijakuelewa. Kwenye jamvi hili kuna wataalamu wa kila namna. Au kwa vile tunatumia nicknames, basi sisi ni mashabiki tu, kama wa Ashanti?
Hata kwa mtu mwenye maarifa ya wastani ya project management, ataona mradi wa DARTS una matatizo.
 
Mtashangaa kwamba hata baada ya huu mradi kukamilika, bado matatizo yatabaki pale pale!!!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
siku zote huwa nasikitishwa sanaa na watanzania kwa kuwa na majibu mepesi kwa critical issues. Nyumba ya Maskini huwa haiishi kujengwa. hata Mradi haujaisha tayari tumelalamika haijatolewa tathmini ya kitaalamu tayari tumejitwika utaalamu na ujuaji kibaooo jamani hebu muwaache wataalamu wamalize kazi yao ndio tuje tuanze kuwaambia kasoro kutokana na output yao. inasikitisha project iko at 55% watu tushalalamika sana na kinachosikitisha hizi barabara hata miaka 3 hazijamaliza ila ukizitazama ni kama za miaka 5 uchafu matofali kubomoka yaani ili mradi tu yote hii ni sababu ya kukosa ustaarabu tu. hata tujenge flyovers tuweke reli nzuri na kila kizuri kama hatutokuwa wastaarabu sisi wenyewe matatizo yetu hayatoisha. sote mashahidi uvunjanji wa taratibu za undeshaji vyombo vya moto unavyochangia foleni tena kiasi kikubwa ila tunaona udogo wa barabara kama a big issue. tumejengewa uwanja mzuriiii lakini watu wanavunja viti wanaharibu miundombinu mwisho wa siku watakuja wanalalamika hapa uwanja hauna ubora. hebu hata hivi vidogo tulivyonavyo tuvitumie kwa utaratibu na ustaarabu. tusipo badirika wenyewe hata ijengwe flyovers sijui treni ya Umeme hamna kituu. na tujifunze kuwa wavumilivu subili kitu kikamilike then uliza wataalamu ni kwanini output imekuwa tofauti na ulivyotegemea

unapoint nzuri ila ukiongelea project out put hausubirii mpk mradi umalizike inaanza the moment mradi umekuwa implemented,wakiwa wanajenga any pblm wao wanaziover come vp!?in short hu mradi una short comin nyingi sana hata haujamalizika, ukimalizika ndo unathan hautakuwa na anymatatizo!?
mradi kma unaonekana una makosa mengi unaweza pigwa chini mapema
 
Nasikiasikia kwamba ule mradi umecost zaidi Billion 1000.(1 tril.).Kama bado 10% ipo na Mgufuli hakuzulumiwa 10% yake ,basi amekula 100 billion.

Hela za kujenga ile barabara ya mwenokasi ilikua na uwezo wa kujenga barabara yenye urefu wa 1300 km kwa kiwango cha lami.
Kama ni kweli huu mradi hauna tija. Nadhani kuna kitu kiliangaliwa hapa cha kisiasa au mfuko binafsi ,hasa ile 10% lakini sio tija kwa wananchi. Ingekua tija basi zingejengwa barabara zote za pembezoni.
Hii ni kwa sababu huu mradi hautaweza kupunguza foleni kwani njia za pembezoni bado ni mbovu na ni nyembamba sana.
 
siku zote huwa nasikitishwa sanaa na watanzania kwa kuwa na majibu mepesi kwa critical issues. Nyumba ya Maskini huwa haiishi kujengwa. hata Mradi haujaisha tayari tumelalamika haijatolewa tathmini ya kitaalamu tayari tumejitwika utaalamu na ujuaji kibaooo jamani hebu muwaache wataalamu wamalize kazi yao ndio tuje tuanze kuwaambia kasoro kutokana na output yao. inasikitisha project iko at 55% watu tushalalamika sana na kinachosikitisha hizi barabara hata miaka 3 hazijamaliza ila ukizitazama ni kama za miaka 5 uchafu matofali kubomoka yaani ili mradi tu yote hii ni sababu ya kukosa ustaarabu tu. hata tujenge flyovers tuweke reli nzuri na kila kizuri kama hatutokuwa wastaarabu sisi wenyewe matatizo yetu hayatoisha. sote mashahidi uvunjanji wa taratibu za undeshaji vyombo vya moto unavyochangia foleni tena kiasi kikubwa ila tunaona udogo wa barabara kama a big issue. tumejengewa uwanja mzuriiii lakini watu wanavunja viti wanaharibu miundombinu mwisho wa siku watakuja wanalalamika hapa uwanja hauna ubora. hebu hata hivi vidogo tulivyonavyo tuvitumie kwa utaratibu na ustaarabu. tusipo badirika wenyewe hata ijengwe flyovers sijui treni ya Umeme hamna kituu. na tujifunze kuwa wavumilivu subili kitu kikamilike then uliza wataalamu ni kwanini output imekuwa tofauti na ulivyotegemea

Yaani usubiri kitu kikamilike wakati failure inaonekana wazi? Barabara ya moro itatumikaje? malori humo humo, gari ndogo humo humo, halafu barabara nyembamba! halfu inaishia Kimara wakati mbezi siku hizi ina umati wa watu km ubungo au manzese! Watu watakoamwagwa hapo Kimara na hiyo mibasi wataendaje mbezi. Kutoka kimara mpaka mbezi tayari traffic jam ni kali sana kwa sababu ya malori, daladala na magari binafsi. Mradi wa kupunguza foleni unaongeza foleni!!!!
 
Khaa!! Ugali haujaiva, nanyi hamjui kupika lakini mmeanza kulialia. Kupanga ni kuchagua. Au ni muendelezo wa madai ya pesa alizochukua Kinana? Acheni kwanza kazi iishe au waulize wataalam.
 
Umedorora tayari, ujenzi kiwango duni, magufuli na wenzie wa tanroad na jiji kimya!!! ni majanga. Sijui kama kuna member amewahi kupita maeneo ya ujenzi na kujionea. Aibu tupu. Halafu eti wamepewa na barabara za mikoani.
 
siku zote huwa nasikitishwa sanaa na watanzania kwa kuwa na majibu mepesi kwa critical issues. Nyumba ya Maskini huwa haiishi kujengwa. hata Mradi haujaisha tayari tumelalamika haijatolewa tathmini ya kitaalamu tayari tumejitwika utaalamu na ujuaji kibaooo jamani hebu muwaache wataalamu wamalize kazi yao ndio tuje tuanze kuwaambia kasoro kutokana na output yao. inasikitisha project iko at 55% watu tushalalamika sana na kinachosikitisha hizi barabara hata miaka 3 hazijamaliza ila ukizitazama ni kama za miaka 5 uchafu matofali kubomoka yaani ili mradi tu yote hii ni sababu ya kukosa ustaarabu tu. hata tujenge flyovers tuweke reli nzuri na kila kizuri kama hatutokuwa wastaarabu sisi wenyewe matatizo yetu hayatoisha. sote mashahidi uvunjanji wa taratibu za undeshaji vyombo vya moto unavyochangia foleni tena kiasi kikubwa ila tunaona udogo wa barabara kama a big issue. tumejengewa uwanja mzuriiii lakini watu wanavunja viti wanaharibu miundombinu mwisho wa siku watakuja wanalalamika hapa uwanja hauna ubora. hebu hata hivi vidogo tulivyonavyo tuvitumie kwa utaratibu na ustaarabu. tusipo badirika wenyewe hata ijengwe flyovers sijui treni ya Umeme hamna kituu. na tujifunze kuwa wavumilivu subili kitu kikamilike then uliza wataalamu ni kwanini output imekuwa tofauti na ulivyotegemea

watanzania walalamishi sana tena zaidi ya sana. juzi juzi hapa mabadiliko ya barabara CBD watu humu humu JF walianza kulaumu na kusema italeta foleni mara watu watagongwa blah blah nyingi lakini mabadiliko yashatokea life goes kama zamani labda sijui walishagongwa watu wengi.

tumehamia digital tv maneno kibao lakini kama kawaida washazoea na maisha yanaendelea,sasa huu mradi kila mtu humu JF amekuwa mtaalam.
hebu tuelezeni sisi tusiojua hili wala lile kiutaalam kwanini mnasema huu mradi utafeli,alternative ya huu mradi na gharama zake na uendeshaji na logistics zote kama ambavto DART wamefanya,kuna thread jukwaa la uchumu/major project ya dart a-z

kwenu wenye magari inaweza isiwasaidie ila kwetu sisi tunaogombea ma-dcm mradi huu utatusaidia tutakuwa hatugandi kwenye foleni nyinyi kaeni kwenye foleni na magari yenu mkipata akili mtaacha magari mtapanda dart foleni itapungua.
 
Ntemi Kazwile, DARTS ni mfumo wa usafiri duniani ambao ukitaka kuufanya UNALAZIMIKA kufuata Rapid Transport Rules--so, vile wanavyojenga including vituo ndivyo matakwa ya Rapid Transport duniani(kuna society yao). Kuhusu kusaidia, endapo taratibu za RT zitazingatiwa bac atakayetaka kufika mapema aendako atafika mapema! abt if was best option i can say YES coz' alternatives ni kuongeza lanes ambazo bado zingéendelea ku-accomadate magari mengi na kutotatua tatizo wakati DART roads are only for DART buses.
 
Last edited by a moderator:
Ntemi Kazwile, DARTS ni mfumo wa usafiri duniani ambao ukitaka kuufanya UNALAZIMIKA kufuata Rapid Transport Rules--so, vile wanavyojenga including vituo ndivyo matakwa ya Rapid Transport duniani(kuna society yao). Kuhusu kusaidia, endapo taratibu za RT zitazingatiwa bac atakayetaka kufika mapema aendako atafika mapema! abt if was best option i can say YES coz' alternatives ni kuongeza lanes ambazo bado zingéendelea ku-accomadate magari mengi na kutotatua tatizo wakati DART roads are only for DART buses.
 
Last edited by a moderator:
Hata kama sisi sio watalamu

Mladi una mapungufu makubwa

Hauwezi fanya kazi bila flyover maeneo ya shekilango

Amanubungo penyewe

Ulitaka flyover Shekilango ya nini wakati RBT roads zipo katikati? au flyover only to accomodate magari yatokayo Shekilango kwenda Ubungo? kama ndivyo, kimeathirika nn ikiwa RBT roads hazina msururu?
 
Huu mradi na kwa gharama yake haupaswi kuwa ni kwa wasio na magari tu, inabidi upunguze foleni kwa ujumla kama tulivyo aminishwa. nafikiri ni ngumu kwani inategemea sana kama kweli watu walio na magari wataamua kupaki magari na kutumia hayo mabasi. Bila hilo kutokea hakuna chochote kitachotokea. Kuendeleza njia za michepuko ni muhimu kuliko sana maana watu wengi wenye vigari vidogo wanaogopa kupita huko wakihofia kukarabati gari ikiharibika. Sijui waliofanya upembuzi waliangalia vitu gani labda watujuze kama tutaelewa
 
Back
Top Bottom