Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Mi binafsi nakiona chama cha mapinduzi ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi yetu. Kwani kimesheheni viongozi wasio na muono pia dira na hivyo kuliingiza taifa katika mzozo na dimbwi la umaskini. Hivi wanao kiunga mkono CCM wanaakili kweli? Nawasilisha