tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,078
Wakuu,
Baada ya upweke wa muda mrefu nikajisemea ngoja nianze kuwinda mabinti pale Mlimani City, so nikajiwekea kautaratibu kila siku jioni lazima nipitie pale Mlimani City kuzuga huku nikiwa nawinda totoz.
Lakini sijui ndio tuseme nina gundu au vipi, hii ni wiki ya pili tangu nimeanza kuwinda na sijabahatika kupata manzi wa kueleweka maana kila ninayebahatika kuongea nae ananiambia tayari ana mtu.
So labda mnisaidie mbinu zaidi wakuu au pia mnipe majina ya viwanja vingine wanapopatikana hawa swala kwa wingi.
Baada ya upweke wa muda mrefu nikajisemea ngoja nianze kuwinda mabinti pale Mlimani City, so nikajiwekea kautaratibu kila siku jioni lazima nipitie pale Mlimani City kuzuga huku nikiwa nawinda totoz.
Lakini sijui ndio tuseme nina gundu au vipi, hii ni wiki ya pili tangu nimeanza kuwinda na sijabahatika kupata manzi wa kueleweka maana kila ninayebahatika kuongea nae ananiambia tayari ana mtu.
So labda mnisaidie mbinu zaidi wakuu au pia mnipe majina ya viwanja vingine wanapopatikana hawa swala kwa wingi.