carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Nimecheka saana, du.Ah shemeji mie tena? wala sidongoi pale penye ukweli ati. Ninakubaliana nawe kuwa kina mama wengi tuna tabia hii ila kama alivyosema dada Vera huwa kuna sababu behind yaani dada kuna ujumbe anataka kukufikishia but ndo hatujui njia sahihi!
Ila seriously kuna wanaume wanaonuna na usiombe ukakutana naye loh! Utajuta. Mie wangu alikuwa ananuna bila sababu asubuhi hadi usiku akirudi ni kuchuna tu hadi unachoka halafu nite kali ghafla bin vuu unasikia kono linateremshwa hazina!! Sijui wakoje wa namna hii!