Wote tunaifahamu marekani jinsi ilivyo na ubabe na nguvu kijeshi.Kama ilivamia Iraq na nchi nyingine nyingi, kulikoni leo imeshindwa kuwamalizia mbali wasomali hawa wenye AK 47s.NATO nayo,nchi za jumuiya ya Ulaya vipi?Yaani wanataka tuamini kwamba wamewashindwa wasomali hawa?Nauliza hivyo kwa sababu hawa ndio wenye papara ya kila jambo.Hapana sio mjinga kiasi hicho.Hapa pana ajenda ya siri,ajenda ambayo matokeo yake halisi tutayaona hapo baadae.Tutakacho ona sasa ni matokeo ya muda mfupi tu,kupanda kwa bei ya mafuta,watu kuwa na wasiwasi kwa sababu ya kutokuwa na hakika ya maisha ya siku za usoni nk.nk. Kama tutakuwa hai tutashuhudia.This is conspiracy in a grand scale!Inawezekana kabisa kwamba haya maharamia yako kwenye payroll ya Wamarekani na wanapewa kila msaada na Wamarekani.