Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Ni miezi kadhaa watu wanakufa Syria,wakati kuna maonyesho mbali mbali ya watu wa Syria ktk miji yetu na hakuna anayeona kuna cha kusema au kufanya.HIvi hii serikali ya CCM hawana vipengele vya kunagalia kila mara ili kujua kuwa comrade kawa kichaa au bado ana akili timamu.Mbona mbwa wakipata akichaa hata kama tunawapenda huwa tunawapiga risasi mapema sana.Wanafamilia nao wakipata vichaa huwa wanahamishw amajumbania na kuhamishiwa palipo wenzao na huduam yao bila kuogoma kuwa watajisikia tumewatenga na kuwaacha wenyewe kipindi wanachotuhitaji.
Libya tulikwena hivyo hivyo sasa the so called comrade hayupo tena, Libya si washirika tena.
CCM watuambie wanatuhitaji sasa hivi zaidi ni nani?Raia au serikali dhalimu?
Libya tulikwena hivyo hivyo sasa the so called comrade hayupo tena, Libya si washirika tena.
CCM watuambie wanatuhitaji sasa hivi zaidi ni nani?Raia au serikali dhalimu?