...kwanza habari za leo wana jf. kuna issue zinaendelea pale halmashauri ya ilala, wamesimamisha ajira za wafanyakazi waliokua na ajira za mikataba na halmashauri hiyo sababu ni kuwa "halmashauri haina fedha za kuwalipa mishahara". hivi mapato yote yanayokusanywa yanaenda wapi....?