STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Ndugu zangu wanaJF,
Naomba kufahamu, Hivi JK ni rais wetu kweli mbona mimi napata wasi wasi kutokana mambo ambayo yamekuwa yanajitokeza mara kwa mara;
1. Mfano Rais JK anasema yeye haifahamiu kabisa kampuni ya Richmond/Dowans na hata wamiliki wake hawafahmu kabisa, Lakini huku serikali yake inawafahamu na kuwapa hela nyingi namna ile ili walete mitambo ya kufua umeme. Mimi siamini kabisa kuwa haifahami, JK anaifahamu kampuni hii na kama kweli haifahamu basi amfukuze kazi Ngeleja, AG kwa kuwa wanataka kuilipa kampuni ambayo wao hawaifahamu na rais haifahamu na wananchi hatuifahamu.
2. Siku za hivi karibuni kumekuwa na migomo ya wafanyakazi, wanafunzi na wahadhiri; Rais anasema ni wanasiasa espe. CDM ndio wanawashawishi wanafunzi na wafanyakazi kugoma hivi mbona wafanyakazi na wanafunzi wanagomea mambo ya msingi ambayo wanayasema wazi wazi kwanini yasipatiwe ufumbuzi?
mfano kuna wanafunzi ambao mpaka sasa hawajapewa hela zao huu mwezi wa tatu je wafanyaje zaidi ya kuwaambia walipa kudi wa nchi hii?
Ukimwuliza JK atakwambia yeye hajui kwa nini wanafunzi wanagoma.
3. Kuhusu matatizo yanayoisumbua CCM kama vile Rushwa rais kama mwenyekiti wa CCM anasema atalimaliza kwa kuwaondoa baadhi ya watu kwenye chama ambao tunawafahamu na walijipambanua kama wapambanaji wa Ufisadi akidhani ndio tatizo la mpasuko ndani ya CCM, kumbe tatizo ni kina Rostam, EL, Karamage etc.
Kumbuka waTZ wengi ni masikini, kwa hiyo matatizo yao hayawezi kushughulikiwa na mafisadi kama kina RA, Manji na wengine bali na viongozi wao wanaowapenda kama mwakyembe, sita na wengine.
4. Je rais JK anafahamu anawaogoza kina nani?
Naomba kufahamu, Hivi JK ni rais wetu kweli mbona mimi napata wasi wasi kutokana mambo ambayo yamekuwa yanajitokeza mara kwa mara;
1. Mfano Rais JK anasema yeye haifahamiu kabisa kampuni ya Richmond/Dowans na hata wamiliki wake hawafahmu kabisa, Lakini huku serikali yake inawafahamu na kuwapa hela nyingi namna ile ili walete mitambo ya kufua umeme. Mimi siamini kabisa kuwa haifahami, JK anaifahamu kampuni hii na kama kweli haifahamu basi amfukuze kazi Ngeleja, AG kwa kuwa wanataka kuilipa kampuni ambayo wao hawaifahamu na rais haifahamu na wananchi hatuifahamu.
2. Siku za hivi karibuni kumekuwa na migomo ya wafanyakazi, wanafunzi na wahadhiri; Rais anasema ni wanasiasa espe. CDM ndio wanawashawishi wanafunzi na wafanyakazi kugoma hivi mbona wafanyakazi na wanafunzi wanagomea mambo ya msingi ambayo wanayasema wazi wazi kwanini yasipatiwe ufumbuzi?
mfano kuna wanafunzi ambao mpaka sasa hawajapewa hela zao huu mwezi wa tatu je wafanyaje zaidi ya kuwaambia walipa kudi wa nchi hii?
Ukimwuliza JK atakwambia yeye hajui kwa nini wanafunzi wanagoma.
3. Kuhusu matatizo yanayoisumbua CCM kama vile Rushwa rais kama mwenyekiti wa CCM anasema atalimaliza kwa kuwaondoa baadhi ya watu kwenye chama ambao tunawafahamu na walijipambanua kama wapambanaji wa Ufisadi akidhani ndio tatizo la mpasuko ndani ya CCM, kumbe tatizo ni kina Rostam, EL, Karamage etc.
Kumbuka waTZ wengi ni masikini, kwa hiyo matatizo yao hayawezi kushughulikiwa na mafisadi kama kina RA, Manji na wengine bali na viongozi wao wanaowapenda kama mwakyembe, sita na wengine.
4. Je rais JK anafahamu anawaogoza kina nani?