Hivi kweli CCM ndo wamekubali kushindwa?

"Haya si mapenzi, haya ni mahaba, naahidi kuwatumikia kwa uadilifu wote na mafanikio makubwa.

Itabidi twende kwa Kasi ya Ajabu, spidi ya 120.

Nitaunda serikali rafiki kwa mama ntilie, bodaboda na wamachinga. Hawa ndio rafiki wa serikali Yangu"- EDWARD NGOYAI LOWASA.
 
Ni wazi kuwa kuna hofu kuu imetanda ndani ya CCM, juzi jumapili nilikuwa Korogwe kwa mzee mmoja kiongozi wa CCM Wilaya ktk nafasi nyeti. Hakuwa ananifahamu mimi na mi nilkwenda kikazi kwaajili ya kutumia jengo lake mmojawapo kwaajili ya kufungua ofisi yetu hapo.
Kwakweli amesikitika sana kwa jinsi mambo yanavyokwenda na kuwa kwa taarifa wanazopata toka juu ni kuwa wameshashindwa tayari ila waelekeza zaidi nguvu kwenye kutumia vyombo vya dola kushinda.
 
Sikuamini kwa masikio yangu baada ya kumsikia mzee mmoja maarufu mtaani kwangu akisema kua ana taarifa kwamba sasa baadhi ya viongozi wa CCM wanamtafuta Mh LOWASSA ili Kuongea naye wampe baraka za kuiongoza nchi hii, Kwamba alinde vizuri rasirimali za nchi na awalinde vizuri baadhi ya viongozi wa CCM.
Nilimsikiliza kwa makini huyo mzee japo ilikua ni vigumu kwangu mimi kumwamini kwa jinsi hali ya kisiasa ilivyo kwa sasa hasa kwa upande CCM wanavyotumia nguvu nyingi kumnadi mgombea wao kuliko hata miaka ya nyuma.Pia alisema kua kuna baadhi ya watu wamefanya utafiti nchi nzima na wakagundua kua sio rahisi kumshinda Lowassa kwa namna yeyote ile.

Ni hayo tu wanajukwaa niliyoyasikia hivyo basi za kuambiwa tuchanganye na zetu kutafakari.

Kumbuka hekima na busara si lazima uwe kwa wazee,kuna wazee wengine hamnazo.
 
Kwa mujibu wa sensa ya mwisho iliyofanyika nchini, kundi la vijana ndio kubwa kuliko makundi mengine na waliowengi wanataka mabadiliko. So maji ya shingo kwa watawala
 
Sasa kama wanahitaji kulindwa halafu wanatukana tukana hovyo, ... Hio Neema wataipata kweli? Na bora wasiipate, kila mtu ahukumiwe kutokana na matendo yake!!! Tz mpya imefika sasa
 
Kumbuka hekima na busara si lazima uwe kwa wazee,kuna wazee wengine hamnazo.
na wale waliomwimbia kikwete DOdoma kuwa wanaimani na lowassa na sio Magufuri
utasemaje.?
kama umesahau walimkalibisha wajumbe wote wakampa ujumbe kwa wimbo. Nahisi mnajifanya kusahau. watamkumbusha tena Oct. 25 kwa njia njingine utaijua tu kama bado kichwa ngumu..
 
Back
Top Bottom