Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,432
- 11,100
Hellow,
Ni vema tuache kujishusha kwa kuwaita wanasiasa wasio na faida hayo majina mazuri yenye kuwatukuza wakati matendo na tabia zao wamejaa ushetani.
watu wanauza mali za nchi, wanafuja mali, wala rushwa, wachoyo, wabinafsi, waongo, mafisadi na hawana huruma halafu wanaitwa waheshimiwa ni vema tumrudie Mungu tujitathmini tuache kuwaita majina yanayo wakweza na kutudharau.
Tujitambue.
Ni hayo tu
Wadiz
Ni vema tuache kujishusha kwa kuwaita wanasiasa wasio na faida hayo majina mazuri yenye kuwatukuza wakati matendo na tabia zao wamejaa ushetani.
watu wanauza mali za nchi, wanafuja mali, wala rushwa, wachoyo, wabinafsi, waongo, mafisadi na hawana huruma halafu wanaitwa waheshimiwa ni vema tumrudie Mungu tujitathmini tuache kuwaita majina yanayo wakweza na kutudharau.
Tujitambue.
Ni hayo tu
Wadiz