Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,806
Hili ni swali ambalo najiuliza sana kwa hawa askari magereza tofauti yao na waasi wauwaji, wabakaji na wahujumu uchumi. Walioko jera ni ipi!!
Ila askari magereza wanalinda watu mpaka wanapostaafu na wengine wa makosa ya miaka 10nk huwaacha maasikari magereza wakiendelea na kifungo huru.
Shamba yupo askari na mfungwa wote wanapigwa jua na mvua
Kwenye kuvunja mawe wote wapo
Wanakesha wote
Mbu wote
Yani piiii
Umasikini ni mbaya sana.
Upinge kwa namna yoyote
Utakuja kunishukuru
Ila askari magereza wanalinda watu mpaka wanapostaafu na wengine wa makosa ya miaka 10nk huwaacha maasikari magereza wakiendelea na kifungo huru.
Shamba yupo askari na mfungwa wote wanapigwa jua na mvua
Kwenye kuvunja mawe wote wapo
Wanakesha wote
Mbu wote
Yani piiii
Umasikini ni mbaya sana.
Upinge kwa namna yoyote
Utakuja kunishukuru