Hivi kuna maeneo ya ovyo kama Mbagala? Hakuna ustaarab kabisa

Sema mzee kimsboy utakuwa unaishi Mbagala sema unajuta tu kwa uamuzi huo wa kuishi Mbagala,thus why unachukua opportunity hii kutoa nyongo ya majuto yako kwenye threads
20230426_153508.jpg
 
Wewe mtoa mada ni Fala Tu na mshamba...tatizo lenu wengi mmekuja hapa DAR ndiyo maana kilasiku ni kusifia mitaa ya DAR Tu, hiyo Goba zamani ilikuwa ni chaka la watengeza pombe ya gongo miaka ya 80 na 90's kipindi hicho wewe bado upo kwenu unalima kwenye majaruba
 
Wewe mtoa mada ni Fala Tu na mshamba...tatizo lenu wengi mmekuja hapa DAR ndiyo maana kilasiku ni kusifia mitaa ya DAR Tu, hiyo Goba zamani ilikuwa ni chaka la watengeza pombe ya gongo miaka ya 80 na 90's kipindi hicho wewe bado upo kwenu unalima kwenye majaruba
We endelea kuishi kwenu uswekeni na unajitapa umezaliwa Dar wakati wenzako wametoka mkoani wanaishi zao huko goba kwenye mijengo
 
Mbagala kote ukianzia zakiemu, rangi tatu, Mbagala kuu, Charambe, maji matitu hapafai yani ustaarabu zero yani kuna maeneo hapo Mbagala utafikiri sio Dar kuna sehemu kuna waganga kama wote kama Mbagala wanga kibao ndiyo mana wilaya ya temeke haina maendeleo
 
Ukiweka mbagala na jiwe nachajua jiwe!! Tuache utani.
Kuanzia mtoni Kwa Aziz Alli,mbagala, kongowe,na kuendelea Kwa kweli hapana
Nakazia Dar ni Jiji la hovyo
 
Watakuja kukupopoa hapa lakini ukweli ndio huo Temeke nzima hakuna ustaarabu na ndio sehemu inayoongoza kwa kero za foleni,magari kujaza sio Mbagala,sio Gongo la Mboto sio Temeke Stereo daladala zinajaza na wanagombania kupanda hadi wadada wanapitia madirishani...

Masoko na mitaa michafu watu hawana ustaarabu kiufupi mimi nimezaliwa na kukulia uswahili wilaya ya Kinondoni lakini uswahili uliopo Temeke ni wa kukatisha tamaa aisee..Nilipata kiwanja Chamazi kiponza kwa bei chee kabisa nimeishia kujenga fremu kama ulivyosema lakini sijawahi kuplan kabisa kuishi Mbagala
Aisee tuombe radhi wa Changombe duka mbili
 
Ustaarabu gani mnao zungumzia nyie?? Mbona huku watu wanaishi poa tu

Na Kuna minyumba hata huko goba wakasome

Sema huku wilaya ya temeke wamejenga kiswahili sana aiseeeee

Kuna sehemu hata baiskeli haipiti
Mvua ikinyesha shida sana.

Mbagala mzunguko WA fedha ni mkubwa angalia hapo rangi tatu Kuna watu kama kumbi kumbi .usishangae kuona foleni ya magari hata saa Tano usiku.
 
Hivi kuna maeneo ya hovyo kama Mbagala?

Kujenga mbagala ni kuukaribisha uswahili hapastahili kuitwa Dar

Hili eneo halistahili kabisa kuitwa Dar pangehamishiwa mkoa wa Pwani tu hapastahili kabisa kuwa Dar

Wakazi wake hawana ustaarabu kabisa ni sehemu ya ovyo kabisa

Kwa makazi ya familia na makuzi ya watoto hapafai labda ujenge nyumba upangishie tu au frem za biashara maana kuna idadi kubwa ya watu

Ni sehemu ambayo usafiri ni wa shida, fujo fujo tu, ustaarabu zero

Kiufupi mbagala na baadhi ya maeneo ya Temeke sio rafiki kwa kuishi watu kabisa

Mbagala mtu anayejielewa hawezi kutamba kujenga huko

Waliojenga huko Mmbande, Chamazi na mbagala kote huko na hii njia ya kusini wengi wanasimulia majanga na kero wanazokutana nazo kila siku

Mimi nilivyokomaa kununua Goba kipindi hicho baadhi ya rafiki zangu na jamaa zangu walinicheka,na wengine wakanambia siwezi wakawa wanafurahia walivyonunua viwanja wa bei nafuu huko Chamazi, Vkindu,mbagala mmbande na Temeke matokeo yake sasa yanaonekana ni nani anayeishi sehemu nzuri na anayeishi sehemu ya hovyo
Nina uhakika wewe sio mzaliwa wa Dar ushamba bado unakusumbua
 
Hivi kuna maeneo ya hovyo kama Mbagala?

Kujenga mbagala ni kuukaribisha uswahili hapastahili kuitwa Dar

Hili eneo halistahili kabisa kuitwa Dar pangehamishiwa mkoa wa Pwani tu hapastahili kabisa kuwa Dar

Wakazi wake hawana ustaarabu kabisa ni sehemu ya ovyo kabisa

Kwa makazi ya familia na makuzi ya watoto hapafai labda ujenge nyumba upangishie tu au frem za biashara maana kuna idadi kubwa ya watu

Ni sehemu ambayo usafiri ni wa shida, fujo fujo tu, ustaarabu zero

Kiufupi mbagala na baadhi ya maeneo ya Temeke sio rafiki kwa kuishi watu kabisa

Mbagala mtu anayejielewa hawezi kutamba kujenga huko

Waliojenga huko Mmbande, Chamazi na mbagala kote huko na hii njia ya kusini wengi wanasimulia majanga na kero wanazokutana nazo kila siku

Mimi nilivyokomaa kununua Goba kipindi hicho baadhi ya rafiki zangu na jamaa zangu walinicheka,na wengine wakanambia siwezi wakawa wanafurahia walivyonunua viwanja wa bei nafuu huko Chamazi, Vkindu,mbagala mmbande na Temeke matokeo yake sasa yanaonekana ni nani anayeishi sehemu nzuri na anayeishi sehemu ya hovyo
MBAGALA NI KUZIMU
 
Watakuja kukupopoa hapa lakini ukweli ndio huo Temeke nzima hakuna ustaarabu na ndio sehemu inayoongoza kwa kero za foleni,magari kujaza sio Mbagala,sio Gongo la Mboto sio Temeke Stereo daladala zinajaza na wanagombania kupanda hadi wadada wanapitia madirishani...

Masoko na mitaa michafu watu hawana ustaarabu kiufupi mimi nimezaliwa na kukulia uswahili wilaya ya Kinondoni lakini uswahili uliopo Temeke ni wa kukatisha tamaa aisee..Nilipata kiwanja Chamazi kiponza kwa bei chee kabisa nimeishia kujenga fremu kama ulivyosema lakini sijawahi kuplan kabisa kuishi Mbagala
Kwahiyo ustaarabu upo Kigogo au upo Tandale?ustaarabu upo Mburahati au M/nyamala kwa manjunju?unakuja M/nyamala Kisiwani wewe?Nenda Kinondoni Moscow ukapate show au kule Kino-shamba?Huijui Dar wee wa Kuja....halafu G/Mboto ipo Ilala wee,Nenda Manzese madizini uko ukaone kazi,unajua Mabibo?Tabata unaiona barabarani tu ingia ndani.....halafu suala la kujaza abiria ni wapi ambapo utapanda basi asubuhi au jioni kwa kujiachia?Nenda Makumbusho au Simu 2000 au Mbezi Luis(mwisho) uone kazi ilivyo kwa ruti unazoziona ww za wastaarabu.......Hizo mwendokasi tu zinazopita huko unapoona wastaarabu hazishikiki kizembe....labda utokee Mbezi ukae foleni....tueleze ustaarabu upi sasa kabla hatujaendelea kukupopoa wa Kuja mshamba ww
 
Mtoa maada utakuwa na matatizo ya ukichaa yafaa upelekwe milembe...Mbagala hapafai so what?
 
Kwahiyo ustaarabu upo Kigogo au upo Tandale?ustaarabu upo Mburahati au M/nyamala kwa manjunju?unakuja M/nyamala Kisiwani wewe?Nenda Kinondoni Moscow ukapate show au kule Kino-shamba?Huijui Dar wee wa Kuja....halafu G/Mboto ipo Ilala wee,Nenda Manzese madizini uko ukaone kazi,unajua Mabibo?Tabata unaiona barabarani tu ingia ndani.....halafu suala la kujaza abiria ni wapi ambapo utapanda basi asubuhi au jioni kwa kujiachia?Nenda Makumbusho au Simu 2000 au Mbezi Luis(mwisho) uone kazi ilivyo kwa ruti unazoziona ww za wastaarabu.......Hizo mwendokasi tu zinazopita huko unapoona wastaarabu hazishikiki kizembe....labda utokee Mbezi ukae foleni....tueleze ustaarabu upi sasa kabla hatujaendelea kukupopoa wa Kuja mshamba ww
Mimi siijui Dar!? Unanifundisha Dar mimi!? Yaani umavimavi wenu wa Mbagala ndio uufanishe na sehemu hizo!? Ona huyu, sijakataa tangu mwanzo nimesema maeneo hayo uliyoyataja ni uswahilini na hakuna ustaarabu sema Mbagala imezidi sehemu ambayo wanauza hadi supu ya ngozi ya ng'ombe ndio uifananishe na Kinondoni yenye angalau hata migahawa ya KFC!? We hujiulizi kwanini Mbagala hakuna hata KFC pamoja na kuwa na nyomi la watu!? Ukwelini kwamba hamna ustaarabu huko mmeshazoea kula supu ya ngozi ya punda hapo rangitatu..kwanza usichokijua watu wa Mbagala wana utamaduni wao ambao haupo sehemu nyingine zozote za Uswahilini!..Halafu umezaliwa Mbagala unawaona watu waliozaliwa na kukulia Kinondoni Kilometa moja na Oysterbay ni wa kuja!? You've to be serious dude..
 
Back
Top Bottom