Hili ni chimbo liko Arusha kuna jamaa ni Mkenya analetewaga na Mmarekani naye anazileta ArushaMuwe mnaweka mambo wazi tuambieni hizo chimbo
Kadeti inauzwa 40k hiyo bado ni fekiMwenye kujua Kadeti Bora Zaidi ya Vicobss? Naomba anijuze, usinitajie kadeti zilizopo huko ulaya, najua kuna kali zaidi ya hizi, ila naangalia zile ambazo ni angalau kwa mazingira yetuu..
Sizungumzii hawa wanaojaribu ku mimic jina ili kulaghai wengi, japo wengi wanajaa kweli..
Sizungumzii VICBOSS
View attachment 2931783
Sizungumzii VICCCBSSView attachment 2931934
Pia Sizungumzii VICOBOS.
Nazungumzia VICOBSS,
View attachment 2931939
Kuna Brand Nyingine kali kama
Gentreman VibesView attachment 2932015
VIPView attachment 2932012
Massimo dute etc ila naona bado anakalishwa na vicobss,
Hizi nyingi bei yake inachezea kwenye 40k kwa wastani, hizi at least unafua bila kupungua ubora wake kwa haraka hasa ukizingatia Maji mazuri, na kupunguza mashart sijui ya jua na pasi.
Binafsi kwa VICOBSS nimewakubali, ni mda mrefu sasa nazitumia hazijaniangusha...
Jee KWA UZOEFU WA KUIVAA kuna mwenye kujua brand bora zaidi, tujuzane.
Hilo Sibishi, ndio maana nimetoa tahadhari, kwamba at least, Kuna mtu kasema hapa kuna zinazokaribia 300k..Kadeti inauzwa 40k hiyo bado ni feki
Hahahahaha nyie watu huwa mnanifurahisha sana... Kuna jamaa angu nilisoma nae Udsm 2009 kuna kipindi nimeonana nae 2016 tukawa tunapga story za hapa na pale sasa akanionyesha sox amevaa akasema " hizi sox nilinunua kipindi kile tunasoma udsm, ona hizi sox hazichakai sijui kwa nini" kwa kweli nilichoka kabisa maana sox zile ni km mpya tu....Sana .nina boxer ya Louis Vuitton nilinunua mwaka 2007 mpaka leo naivaa na haijatoka hata kipande cha uzi nikiivaa utasema nimenunua jana. Aise kuvaa vitu original raha sana tatizo bei zake wengi hatuziwezi.
Ulaya pia maduka yameajaa michina. Maduka yanaouza product za Ulaya og huwezi gusa. Kipato cha Kati wengi wanapenda kununua kwenye michinaHivi bado woolworths wana operate hapa dar kuna kipindi kulikua na duka lao kule posta hawa wa South nao wanauza vitu quality ya ulaya mali safi. Hata arusha walikua na duka lao pale karibu na TFA
Jirani n Walamba Asali wananunua kwa pesa zetu.Kuna duka moja pale karibu na lumumba ofisi ndogo CCM nilingia sikumbuki jina Shirt 290,000 suruali cardet 295,000 brand ni Tommy
Tena unajikuta kila mwezi unakunjua Mpya una shine balaaUzuri watazamaji hawawezi tofautisha Kati ya kadet ya 200k na 17k. Mimi huwa navyaa za 17k na nadunda mjini.
Nyie ndio mnavaa ili muonekane😂😂Shida ya hizo brand mtu akivaa kopi ya elfu 40 na wewe uliyevaa ya laki 2 nyote kwenye harusi mtaonekana mmenunua elf 20 tu.
Hivyo vitu vya bei kubwa mwe mnatambiana huko huko kwa wenzenu.na zaidi wabongo hawaambiliki. watakubishia kuwa umepigwa haha.
wabongo pumbavu sana wa akili.
kuna bwege alinishangaa nimenunua designer brand miwani riyal 800 kuwa bongo kama hiyo ningepata kwa elfu 15. nikaiangalia hiyo taahira nikaiacha
Nyie ndio mnaimwa fangasi....soksi miaka 7?Hahahahaha nyie watu huwa mnanifurahisha sana... Kuna jamaa angu nilisoma nae Udsm 2009 kuna kipindi nimeonana nae 2016 tukawa tunapga story za hapa na pale sasa akanionyesha sox amevaa akasema " hizi sox nilinunua kipindi kile tunasoma udsm, ona hizi sox hazichakai sijui kwa nini" kwa kweli nilichoka kabisa maana sox zile ni km mpya tu....
Nishaacha kuvaa brands kitambo baada ya makolo kibao kuanza kufyatua midosho ya kariakoo. Sahizi kama brands navaa za mtumba tu sio shopNyie ndio mnavaa ili muonekane😂😂