MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Yup Jerusalem kuna weusi wazawa kama ambavyo hata tanzania kuna wahindi, waarabu na hata wazungu wazawa.
wafrika kila kila mahali wapo katika Dunia hii ila tu hatupewi haki zetu tunanyanyaswa sana tofauti na wenzetu watu weupe wakija kwetu afrika tunawapokea kwa mikono miwili.