ingawa habari hii ina ukweli ndani yake utatakiwa uthibitishe chanzo cha habari hii .hii habari sio ngeni masikioni mwangu mashine hizo zinatumika kwenye dry cleaner moja ipo maeneo ya metropole arusha inaitwa vip dry cleaner
nakukumbuka wakati wa uchaguzi wa mwaka 1995 kinana aliacha kuchukua fom ya kugombea ubunge baada ya nccr mageuzi kusema kuwa sio raia kwani ana uraia wa tanzania na somalia.
Kinana alingia na babaake tanzania akiwa na miaka 8 na alikataa kuukana uraia wa somalia.amekuwa akifanya biashara ya madawa ya kulevya mandrax na mdogo wake ahmed nuru kinana ambaye alimpa machine za kufulia zizokuwa msaada kutoka kwa waisani kwa ajili ya hospatal ya mount meru.
Sasa hivi ahmed ndio kinara wa kuingiza wasomali na waethopia wanaokwenda kusini.
Mi nachouliza na ambacho bado sijajibiwa ni kwamba kinana mke wake ni msomali au mswahili wa bongo halafu watoto wake wakoje ni wasomali au wabongo??
wametafuta udhaifu wa Kinana wanakosa,sasa wanaokoteza madai ya kitoto,wakati anapigaga vita ya Amini hamna aliyetoa madai ya kutengenezwa,mumesubiri hadi kapata Ukatibu!!!!Mti wa matunda ndio unaopigwa mawe.
Nakukumbuka wakati wa uchaguzi wa mwaka 1995 kinana aliacha kuchukua fom ya kugombea ubunge baada ya NCCR Mageuzi kusema kuwa sio raia kwani ana uraia wa Tanzania na Somalia.
Kinana alingia na babaake Tanzania akiwa na miaka 8 na alikataa kuukana uraia wa Somalia.Amekuwa akifanya biashara ya madawa ya kulevya mandrax na mdogo wake Ahmed Nuru Kinana ambaye alimpa machine za kufulia zizokuwa msaada kutoka kwa waisani kwa ajili ya hospatal ya Mount Meru.
Sasa hivi Ahmed ndio kinara wa kuingiza wasomali na waethopia wanaokwenda kusini.
umakini wa kinana kiutendaji ni kiama kwa vyama vya upinzani - kibandaNakukumbuka wakati wa uchaguzi wa mwaka 1995 kinana aliacha kuchukua fom ya kugombea ubunge baada ya NCCR Mageuzi kusema kuwa sio raia kwani ana uraia wa Tanzania na Somalia.
Kinana alingia na babaake Tanzania akiwa na miaka 8 na alikataa kuukana uraia wa Somalia.Amekuwa akifanya biashara ya madawa ya kulevya mandrax na mdogo wake Ahmed Nuru Kinana ambaye alimpa machine za kufulia zizokuwa msaada kutoka kwa waisani kwa ajili ya hospatal ya Mount Meru.
Sasa hivi Ahmed ndio kinara wa kuingiza wasomali na waethopia wanaokwenda kusini.
bado sijajibiwa swali langu jamani,je kinana mke wake ni msomali pia? na je watoto wake nao muonekano wao ni wa kisomali pia??
mna uhakika kuwa hakuzaliwa tz?? na kama ni msmali je ni msmali wa wapi mbona hana nywele za kisomali kama za rage na bashe isije ikawa ni msomali mbantu kama wale tuliowarudisha tanga???!!! mana wale ni wazigua tu.
Nndio maana naifagilia ccm,ni wakweli na hawana unafiki
Mama mwarabu baba msomali alafu awe mzalendo tangu lini msomali akaoa asie msomali au mwaarabu alafu tunawaita wenzetu tumeliwa.
This is personal attack, nothing less! Hivi kwanini JF inaruhusu wabaguzi kuweka mambo yao humu? nani kahakiki uraia wa Kinana? au awe anatembea na vielelezo ili asiandikwe JF? Uraia wa mtu na rangi au kabila yake ni vitu tofauti. makamu wa Rais wa Zambia ni Mzungu, etc. Sijui watu wengine wamerogwa? Kuwashambulia watu tu! Mbona Kinana ni mzalendo kuliko hata watu wengi hapa nchini.
Watanzania wazawa halisi ni watu wa mikoa ya Dodoma, Singida, Morogoro, Shinyanga na Mwanza mpya baada ya Geita kuondoka.