Hivi kazi ya TAKUKURU ni nini, kila aina ya biashara na shughuli ya kiofisi wanakagua je wamekubaliana na vitengo vingine.

Alikaeli

Senior Member
Jul 30, 2016
169
193
Wana JF nauliza nina sababu kubwa, na maswali yanayo hitaji majibu.

  • TAKUKURU wanaingilia majukumu ya ofisi zingine mtaani Je, huwa wameombwa na vitengo hivyo kusaidiwa kukagua maeneo yao na kuwahoji watu maswala yasiyohusiana na RUSHWA?
  • TAKUKURU wameacha ajenda ya RUSHWA kufuatilia wanao toa na kupokea rushwa je wameona hailipi au kazi hizo ni chache au wamejikuta hawanaga kazi wakaamua wenyewe wafanye kazi zingine au walipewa na vitengo vingine ruksa ya kuawsaidia,
  • Kila nikisoma vipeperushi vya TAKUKURU sijaona wao wakielezea kuwa wana hayo majukumu mengine ya vitengo vya mashirika ya umma na Wizara kwanini hawaelezi wakati tayari wanazifanya,
  • TAKUKURU ni usalama wa TAIFA (TISS) au wamekubaliana wasaidiane majukumu hayo? Kuna sehem walikuwa wanafuatilia jambo na kuchunguza wakamuita mtu kumuhoji kazi ambayo ni ya usalama wa taifa (TISS) je ni sahihi au walikuwa wanajitafutia ulaji,
  • Juzi niliwaona mitaa ya NYAMWEZI Street wanamwambia jamaa kuwa walipata taarifa kuwa HANA LESSENI YA BIASHARA anayoifanya wakaondoka naye kwenda ofisini akahojiwe halafu akapewa SAMAS ili arudi tarehe flan kwenye SAMAS imegongwa muhuri mwekundu umeandikwa SIRI juu na chini.
Niishie hapo tu ila mwenye uelewa anieleweshe kuhusu TAKUKURU, wanahusika na nini na wanachokifanya sasa hivi ni sahihi? Nieleweshwe tafadhali.
-----------------------------------------------------------------------
UPDATES:
Hadi sasa au siku ya leo ukienda ofisini kwao TAKUKURU uchukue kipeperushi utakuta hakiainishi kazi zingine, kinaeleza KUPAMBANA NA RUSHWA tu, je wamejisahau ku update hivyo vipeperushi kwakuwa wamepewa kazi hizo zingine au vipi
 
Hoja yako ina maana Sana, , ki ukweli uwa nashindwa kuelewa scope ya kazi zao
Hadi sasa au siku ya leo ukienda ofisini kwao TAKUKURU uchukue kipeperushi utakuta hakiainishi kazi zingine, kinaeleza KUPAMBANA NA RUSHWA tu je wamejisahau ku update hivyo vipeperushi kwakuwa wamepewa kazi hizo zingine au vipi.
 
Wana JF nauliza nina sababu kubwa, na maswali yanayo hitaji majibu.

  • TAKUKURU wanaingilia majukumu ya ofisi zingine mtaani Je, huwa wameombwa na vitengo hivyo kusaidiwa kukagua maeneo yao na kuwahoji watu maswala yasiyohusiana na RUSHWA?
  • TAKUKURU wameacha ajenda ya RUSHWA kufuatilia wanao toa na kupokea rushwa je wameona hailipi au kazi hizo ni chache au wamejikuta hawanaga kazi wakaamua wenyewe wafanye kazi zingine au walipewa na vitengo vingine ruksa ya kuawsaidia,
  • Kila nikisoma vipeperushi vya TAKUKURU sijaona wao wakielezea kuwa wana hayo majukumu mengine ya vitengo vya mashirika ya umma na Wizara kwanini hawaelezi wakati tayari wanazifanya,
  • TAKUKURU ni usalama wa TAIFA (TISS) au wamekubaliana wasaidiane majukumu hayo? Kuna sehem walikuwa wanafuatilia jambo na kuchunguza wakamuita mtu kumuhoji kazi ambayo ni ya usalama wa taifa (TISS) je ni sahihi au walikuwa wanajitafutia ulaji,
  • Juzi niliwaona mitaa ya NYAMWEZI Street wanamwambia jamaa kuwa walipata taarifa kuwa HANA LESSENI YA BIASHARA anayoifanya wakaondoka naye kwenda ofisini akahojiwe halafu akapewa SAMAS ili arudi tarehe flan kwenye SAMAS imegongwa muhuri mwekundu umeandikwa SIRI juu na chini.
Niishie hapo tu ila mwenye uelewa anieleweshe kuhusu TAKUKURU, wanahusika na nini na wanachokifanya sasa hivi ni sahihi? Nieleweshwe tafadhali.
-----------------------------------------------------------------------
UPDATES:
Hadi sasa au siku ya leo ukienda ofisini kwao TAKUKURU uchukue kipeperushi utakuta hakiainishi kazi zingine, kinaeleza KUPAMBANA NA RUSHWA tu, je wamejisahau ku update hivyo vipeperushi kwakuwa wamepewa kazi hizo zingine au vipi
Nadhani kazi yao kubwa ni kuzuia na kupambana na rushwa.

Kuhusu kuitwa Takukuru huyo mtu mwenye leseni ya biashara, nadhani ni suala la kiuchunguzi tu. Maana inawezekana leseni hiyo ya biashara ni halali ila imepatikana kwa njia ya rushwa i.e kuna hongo ilitumika, au aliyeitoa hakuwa na mamlaka ya kuitoa, au kuna documents zilighushiwa hadi leseni kutolewa etc

Kuhusu kufanya kazi za Usalama wa taifa, nimeshindwa kuchangia kwa kuwa haujawa specific ni kazi gani hasa walizozifanya.

All in all, toa ushirikiano/mwambie aliyekueleza tukio hilo atoe ushirikiano maana wao takukuru ndio wanaofahamu kitu wanachokitafuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana JF nauliza nina sababu kubwa, na maswali yanayo hitaji majibu.

  • TAKUKURU wanaingilia majukumu ya ofisi zingine mtaani Je, huwa wameombwa na vitengo hivyo kusaidiwa kukagua maeneo yao na kuwahoji watu maswala yasiyohusiana na RUSHWA?
  • TAKUKURU wameacha ajenda ya RUSHWA kufuatilia wanao toa na kupokea rushwa je wameona hailipi au kazi hizo ni chache au wamejikuta hawanaga kazi wakaamua wenyewe wafanye kazi zingine au walipewa na vitengo vingine ruksa ya kuawsaidia,
  • Kila nikisoma vipeperushi vya TAKUKURU sijaona wao wakielezea kuwa wana hayo majukumu mengine ya vitengo vya mashirika ya umma na Wizara kwanini hawaelezi wakati tayari wanazifanya,
  • TAKUKURU ni usalama wa TAIFA (TISS) au wamekubaliana wasaidiane majukumu hayo? Kuna sehem walikuwa wanafuatilia jambo na kuchunguza wakamuita mtu kumuhoji kazi ambayo ni ya usalama wa taifa (TISS) je ni sahihi au walikuwa wanajitafutia ulaji,
  • Juzi niliwaona mitaa ya NYAMWEZI Street wanamwambia jamaa kuwa walipata taarifa kuwa HANA LESSENI YA BIASHARA anayoifanya wakaondoka naye kwenda ofisini akahojiwe halafu akapewa SAMAS ili arudi tarehe flan kwenye SAMAS imegongwa muhuri mwekundu umeandikwa SIRI juu na chini.
Niishie hapo tu ila mwenye uelewa anieleweshe kuhusu TAKUKURU, wanahusika na nini na wanachokifanya sasa hivi ni sahihi? Nieleweshwe tafadhali.
-----------------------------------------------------------------------
UPDATES:
Hadi sasa au siku ya leo ukienda ofisini kwao TAKUKURU uchukue kipeperushi utakuta hakiainishi kazi zingine, kinaeleza KUPAMBANA NA RUSHWA tu, je wamejisahau ku update hivyo vipeperushi kwakuwa wamepewa kazi hizo zingine au vipi

Yapaswa kwanza uijue sheria ya TAKUKURU ambayo ni PCCA ya mwaka 2007 na marekebisho yake yote ndo utaweza elewa kazi zao pia na majukumu yao na mamlaka yao
Tifauti na hapo huwezi kuwaelewa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yapaswa kwanza uijue sheria ya TAKUKURU ambayo ni PCCA ya mwaka 2007 na marekebisho yake yote ndo utaweza elewa kazi zao pia na majukumu yao na mamlaka yao
Tifauti na hapo huwezi kuwaelewa


Sent using Jamii Forums mobile app
Vipengele kama nilivyoainisha je vimo ndani ya hayo majukumu ni swali tu tusaidie kujua na uweke wazi wengine tunufaike
 
Vipengele kama nilivyoainisha je vimo ndani ya hayo majukumu ni swali tu tusaidie kujua na uweke wazi wengine tunufaike

hakuna kupengele ulicho ainisha nimekupa jibu kasome sheria coz ipo google na kila sehemu pia kumbuka sheria mama ni PCCA kwa wao ila pia zingine zote wanamalaka ya kuzitumia
usiwe mvivu ndo maana unalalama hovyo fanya tafiti kwanza
sasa wewe hata kusoma huwezi unalalama tuu
 
Hadi sasa au siku ya leo ukienda ofisini kwao TAKUKURU uchukue kipeperushi utakuta hakiainishi kazi zingine, kinaeleza KUPAMBANA NA RUSHWA tu je wamejisahau ku update hivyo vipeperushi kwakuwa wamepewa kazi hizo zingine au vipi.

unajua kazi ya vipeperushi
unataka kujua mamlaka au majukumu soma sheria ndo inaeleza kila kitu na sio vipeperushi
 
Hii taasisi kiukweli ina mapungufu sana na hawaelewi wanachofanya wala wanachopaswa kufanya.

Ukifuatilia kwa umakini, hata kazi yao ya msingi ya kuzuia na kutokomeza rushwa bado wanaifanya kwa kiwango cha chini sana, ndio maana hata kesi nyingi wanazofungua mara nyingi hawashindi kwa masuala ya kitaalamu na hata kukosekana ushahidi wa kutosha. Watendaji wake wanakuwa na papara ya kufungua kesi kabla ya kujipanga vizuri. Kuna msemo maarufu aliusema Profesa Fimbo kuwa, "Tunashinda au Kushindwa kesi tukiwa kwenye ofisi zetu za uwakili/sheria". Tafsiri ni kuwa, mwanasheria kabla ya kwenda mahakamani, maandalizi yako ndiyo yanayoamua kama utashinda au utashindwa kesi. Kwa muktadha huu, hii ni moja ya taasisi zinazoipa hasara kubwa serikali kupitia kesi wanazofungua kwa papara na kuishia kushindwa.

Sheria iliyoanzisha Taasisi hiyo imeainisha makosa wanayoweza kuyachunguza na kuwachukulia hatua wahusika, lakini hawa TAKUKURU wenyewe ndio wamekuwa wala rushwa wenyewe, wamekuwa wavujisha siri za watoa taarifa na pia hawajui hata kuitafsiri sheria wanayoisimamia, hiyo ndio inayowafanya wawe wanaruka ruka kama mahindi ya bisi kikaangoni, wanataka wafanye kila kitu.

Kama watendaji wake wakijitambua na kuisoma vizuri sheria yao na kuitekeleza ipasavyo, TAKUKURU ingeweza sana kuzuia rushwa nchini lakini kwa sasa ni kama kutwanga maji kwenye kinu.
 
Nadhani kazi yao kubwa ni kuzuia na kupambana na rushwa.

Kuhusu kuitwa Takukuru huyo mtu mwenye leseni ya biashara, nadhani ni suala la kiuchunguzi tu. Maana inawezekana leseni hiyo ya biashara ni halali ila imepatikana kwa njia ya rushwa i.e kuna hongo ilitumika, au aliyeitoa hakuwa na mamlaka ya kuitoa, au kuna documents zilighushiwa hadi leseni kutolewa etc

Kuhusu kufanya kazi za Usalama wa taifa, nimeshindwa kuchangia kwa kuwa haujawa specific ni kazi gani hasa walizozifanya.

All in all, toa ushirikiano/mwambie aliyekueleza tukio hilo atoe ushirikiano maana wao takukuru ndio wanaofahamu kitu wanachokitafuta

Sent using Jamii Forums mobile app
Huku ndio kutokujielewa kwenyewe, taasisi yenye nguvu na mamlaka kisheria inafanya kazi kama tupo miaka ya 80. Shida ni watendaji kutokuwa wabunifu na kutokwenda na wakati. Mfano wa uchunguzi wa hiyo leseni, ungeweza kuichunguza kwa kupitia mamlaka iliyotoa leseni bila hata mwenye leseni kujua kama kuna uchunguzi unaendelea, maana nakala za leseni zinakuwepo na nakala za nyaraka zilizotumika kuombea leseni zinakuwepo.

Kuna Wilaya fulani, TAKUKURU wameshawahi kumwita na kumhoji jamaa (askari polisi) aeleze ni wapi amepata hela ya kununua Brevis, inashangaza lakini ni kweli. Sasa wanamhoji wakati bado hawajafanya uchunguzi benki kwenye akaunti yake namna mzunguko wa hela ulivyo. Japo ilishangaza kufuatilia manunuzi ya Brevis, lakini bado yangeweza kufanywa kitaalamu kiasi mpaka mnapomwita kumhoji huyo mtu mnakuwa tayari na majibu ambayo hayajaridhisha na ndio mnayatafutia ufafanuzi. Mshkaji alikuwa na hela za urithi benki, na walimwacha hivyo, wangechunguza kwanza benki wasingehangaika hata kumhoji hoji.

Kwa kifupi hawajui namna ya kufanya wanachotakiwa kufanya na pengine hawajui kabisa nini wanachopaswa kufanya.
 
hakuna kupengele ulicho ainisha nimekupa jibu kasome sheria coz ipo google na kila sehemu pia kumbuka sheria mama ni PCCA kwa wao ila pia zingine zote wanamalaka ya kuzitumia
usiwe mvivu ndo maana unalalama hovyo fanya tafiti kwanza
sasa wewe hata kusoma huwezi unalalama tuu
Mkuu sijaelewa PCCA ndiyo nini naona umeirudia mara nyingi.
 
Wana JF nauliza nina sababu kubwa, na maswali yanayo hitaji majibu.

  • TAKUKURU wanaingilia majukumu ya ofisi zingine mtaani Je, huwa wameombwa na vitengo hivyo kusaidiwa kukagua maeneo yao na kuwahoji watu maswala yasiyohusiana na RUSHWA?
  • TAKUKURU wameacha ajenda ya RUSHWA kufuatilia wanao toa na kupokea rushwa je wameona hailipi au kazi hizo ni chache au wamejikuta hawanaga kazi wakaamua wenyewe wafanye kazi zingine au walipewa na vitengo vingine ruksa ya kuawsaidia,
  • Kila nikisoma vipeperushi vya TAKUKURU sijaona wao wakielezea kuwa wana hayo majukumu mengine ya vitengo vya mashirika ya umma na Wizara kwanini hawaelezi wakati tayari wanazifanya,
  • TAKUKURU ni usalama wa TAIFA (TISS) au wamekubaliana wasaidiane majukumu hayo? Kuna sehem walikuwa wanafuatilia jambo na kuchunguza wakamuita mtu kumuhoji kazi ambayo ni ya usalama wa taifa (TISS) je ni sahihi au walikuwa wanajitafutia ulaji,
  • Juzi niliwaona mitaa ya NYAMWEZI Street wanamwambia jamaa kuwa walipata taarifa kuwa HANA LESSENI YA BIASHARA anayoifanya wakaondoka naye kwenda ofisini akahojiwe halafu akapewa SAMAS ili arudi tarehe flan kwenye SAMAS imegongwa muhuri mwekundu umeandikwa SIRI juu na chini.
Niishie hapo tu ila mwenye uelewa anieleweshe kuhusu TAKUKURU, wanahusika na nini na wanachokifanya sasa hivi ni sahihi? Nieleweshwe tafadhali.
-----------------------------------------------------------------------
UPDATES:
Hadi sasa au siku ya leo ukienda ofisini kwao TAKUKURU uchukue kipeperushi utakuta hakiainishi kazi zingine, kinaeleza KUPAMBANA NA RUSHWA tu, je wamejisahau ku update hivyo vipeperushi kwakuwa wamepewa kazi hizo zingine au vipi
Mkuu kwani kazi ya TISS Ni Nini na kazi ya PCCB nayo Ni ipi ili tupate kuchangia mada husika?
 
Back
Top Bottom