Kila siku huwa wanaachwa ,utakuta mtu anamkatia ticket tafuta visa mtu anakuja USA anasomeshwa na anamwacha huyo mwanaume.kuna mdada alisomeshwa udaktari 7 years mdada akapata udaktari mdada akafake amebakwa akaitwa police kumbe ni boyfriend Aliyemleta na aliyemsomesha.mkaka akafungwa na alikuwa busy kumsomesha girlfriend na hakuwa na makaratasi mkaka akarudishwa bongo.mkaka kurudi bongo tu mzazi wake akafa ,aliridhi pesa nyingi tu huyu mdada kusikia wacha amfuate bongo aka mkuta mkaka kaoa mwarabu.yule msichana saa hivi kaolewa na mwanaume brother men .mjifunze Kama mnahela Za kuchezea donate to a charity