msemakweli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,627
- 880
Nakumbuka mchango wa Mhe. Mbowe akipendekeza kuwepo tume ya mishahara itakayosimama ulipwaji wa mishahara kwa wafanyakazi wa bunge, serikali na mahakama, wakiwemo viongozi (wabunge, majaji nk) kama ya Kenya. Alisema tuachane na huu mfumo wa watu, haswa wabunge, kuwa na nguvu za kujiamulia mishahara watakaolipwa wao.
Nililiona ni wazo zuri sana.
Wanaojua naomba mnifahamishe hivi hiyo tume ilipita au la? Hii rasim ya katiba wanasema inatuwezesha sisi wananchi kiuchumi, lakini kwa kweli haijatuwezesha kisiasa! Viongozi wamejilinda sana na kuijiwekea masharti ya kujifavor sana!
Nililiona ni wazo zuri sana.
Wanaojua naomba mnifahamishe hivi hiyo tume ilipita au la? Hii rasim ya katiba wanasema inatuwezesha sisi wananchi kiuchumi, lakini kwa kweli haijatuwezesha kisiasa! Viongozi wamejilinda sana na kuijiwekea masharti ya kujifavor sana!