Hivi huyu Nazir Kalamagi kushangilia bandari zetu kuuzwa kuna nini nyuma ya pazia?

Morning_star

JF-Expert Member
Apr 21, 2018
4,160
11,483
Yaani nchi hii imejaa viongozi ambao ni wezi, majambazi, na vibaka wakubwa! Hawa watu kwa sheria za China adhabu yao ni kunyongwa! Dp world ndani yake ni mtiririko wa viongozi wetu tuliowaamini ndo wamegeuka kuungana na mabeberu kuuza rasilimali za nchi! Hivi unaweza kuamini kauli ya Nazir Kalamagi aliyewahi kuwa Waziri? Tena kuendesha bandari kwa mkataba wa miaka 15, akaomba aongezewe muda serikali ikamwongezea 5 kuwa jumla miaka 20 ndo akanyanganywa na ndo akajitokeza mwarabu wa Dp world? Hivi Nazir kalamagi kweli anaweza kushangilia mzawa kunyanganywa na kupewa mgeni? Sasa naelewa DP WORLD ndani ya pazia kuna utitili wa viongozi wanaofurahia nchi yetu kunyonywa na kuwa fukara wa kutupwa wakati wao na watoto wao wakifurahia maisha. Je! Nazir Kalamagi anafurahia kwa kufuata itikadi za kidini au nini? Mbona mtu mwenye akili timamu hawezi kumwelewa huyu jamaa! Lakini wakumbuke hata kama ni itikadi za kidini wakumbuke Gadafi wa Libya aligeukwa na wananchi wa dini yake. Naomba hizi itikadi za dini tuziweke pembeni tunapoongelea maslahi ya taifa! Tanzania ni yetu wote bila kujali dini! Angalia mtaani maisha yalivyo magumu! Unga, maaragwe, mchele, mafuta ya kula, petrol ️ na diesel ️ havikamitiki na nauli zinapanda kila kukicha! Watoto wa shule za umma darasa moja wanajazana wanafunzi 200, mahospitali wagonjwa wanalala mzungu wa nne. N.k, haya yoote hayachagui mkristo, muislam au mpagani! Tukipigika tunapigika woote!
 
Tunapigika sie choka mbaya, wenzetu walamba asali wanafurahia matamu ya nchi.
 
Yaani nchi hii imejaa viongozi ambao ni wezi, majambazi, na vibaka wakubwa! Hawa watu kwa sheria za China adhabu yao ni kunyongwa! Dp world ndani yake ni mtiririko wa viongozi wetu tuliowaamini ndo wamegeuka kuungana na mabeberu kuuza rasilimali za nchi! Hivi unaweza kuamini kauli ya Nazir Kalamagi aliyewahi kuwa Waziri? Tena kuendesha bandari kwa mkataba wa miaka 15, akaomba aongezewe muda serikali ikamwongezea 5 kuwa jumla miaka 20 ndo akanyanganywa na ndo akajitokeza mwarabu wa Dp world? Hivi Nazir kalamagi kweli anaweza kushangilia mzawa kunyanganywa na kupewa mgeni? Sasa naelewa DP WORLD ndani ya pazia kuna utitili wa viongozi wanaofurahia nchi yetu kunyonywa na kuwa fukara wa kutupwa wakati wao na watoto wao wakifurahia maisha. Je! Nazir Kalamagi anafurahia kwa kufuata itikadi za kidini au nini? Mbona mtu mwenye akili timamu hawezi kumwelewa huyu jamaa! Lakini wakumbuke hata kama ni itikadi za kidini wakumbuke Gadafi wa Libya aligeukwa na wananchi wa dini yake. Naomba hizi itikadi za dini tuziweke pembeni tunapoongelea maslahi ya taifa! Tanzania ni yetu wote bila kujali dini! Angalia mtaani maisha yalivyo magumu! Unga, maaragwe, mchele, mafuta ya kula, petrol ️ na diesel ️ havikamitiki na nauli zinapanda kila kukicha! Watoto wa shule za umma darasa moja wanajazana wanafunzi 200, mahospitali wagonjwa wanalala mzungu wa nne. N.k, haya yoote hayachagui mkristo, muislam au mpagani! Tukipigika tunapigika woote!
Kama sikosei, nilisikia alikuwa mbia katika kampuni inayorithiwa na dpw.
 
Yaani nchi hii imejaa viongozi ambao ni wezi, majambazi, na vibaka wakubwa! Hawa watu kwa sheria za China adhabu yao ni kunyongwa! Dp world ndani yake ni mtiririko wa viongozi wetu tuliowaamini ndo wamegeuka kuungana na mabeberu kuuza rasilimali za nchi! Hivi unaweza kuamini kauli ya Nazir Kalamagi aliyewahi kuwa Waziri? Tena kuendesha bandari kwa mkataba wa miaka 15, akaomba aongezewe muda serikali ikamwongezea 5 kuwa jumla miaka 20 ndo akanyanganywa na ndo akajitokeza mwarabu wa Dp world? Hivi Nazir kalamagi kweli anaweza kushangilia mzawa kunyanganywa na kupewa mgeni? Sasa naelewa DP WORLD ndani ya pazia kuna utitili wa viongozi wanaofurahia nchi yetu kunyonywa na kuwa fukara wa kutupwa wakati wao na watoto wao wakifurahia maisha. Je! Nazir Kalamagi anafurahia kwa kufuata itikadi za kidini au nini? Mbona mtu mwenye akili timamu hawezi kumwelewa huyu jamaa! Lakini wakumbuke hata kama ni itikadi za kidini wakumbuke Gadafi wa Libya aligeukwa na wananchi wa dini yake. Naomba hizi itikadi za dini tuziweke pembeni tunapoongelea maslahi ya taifa! Tanzania ni yetu wote bila kujali dini! Angalia mtaani maisha yalivyo magumu! Unga, maaragwe, mchele, mafuta ya kula, petrol ️ na diesel ️ havikamitiki na nauli zinapanda kila kukicha! Watoto wa shule za umma darasa moja wanajazana wanafunzi 200, mahospitali wagonjwa wanalala mzungu wa nne. N.k, haya yoote hayachagui mkristo, muislam au mpagani! Tukipigika tunapigika woote!
Kaambiwa asihofu mkate wake upo humo humo kwenye hisa za DP vorld
 
Anashangilia kwa nje ila ndani moyo unavuja damu usimuamini huyo hao ndio walikuwa wamiliki wa hiyo bandari kabla ya serikali kusitisha mkataba nao.
 
Back
Top Bottom