Leo mida ya saa 11 kasoro nilikuwa kwenye daladala kutoka Mwenge kuja Posta. Katika mazungumzo ya hapa na pale alikuwepo askari wa JWTZ akadai kwamba wanawake na wanaume wako sawa. Ila kuna mambo mawili mpaka sasa katika historia yamewashinda wanawake:
1. Mwanamke hajawahi kuendesha KIFARU akaweza, akasema nchi zote kuanzia Wayahudi (Israel) mpaka Marekani wamejitahidi majike dume wote lakini so far wamechemsha.
2. Mwanamke hajawahi kuwa katika kikosi cha kufyatua MIZINGA ya kivita na akaweza. Akatolea mfano kwamba walikuwa Afrika Kusini jike dume mmoja likabisha na unaambiwa huyo mama alikuwa strong si mchezo. Lakini unaambiwa baada ya kufyatuliwa mizinga miwili alianguka na kuzirai mpaka akalazwa hospitali.
Akasisitiza kwamba hizi habari ni za kweli yaani hakuna documented evidence kwa wanawake kufanya mambo hayo mawili wakaweza.
Haya magreat thinkers hebu tulidadavue na kulipekuapekua ili kujua ukweli wake.
Nawasilisha.
1. Mwanamke hajawahi kuendesha KIFARU akaweza, akasema nchi zote kuanzia Wayahudi (Israel) mpaka Marekani wamejitahidi majike dume wote lakini so far wamechemsha.
2. Mwanamke hajawahi kuwa katika kikosi cha kufyatua MIZINGA ya kivita na akaweza. Akatolea mfano kwamba walikuwa Afrika Kusini jike dume mmoja likabisha na unaambiwa huyo mama alikuwa strong si mchezo. Lakini unaambiwa baada ya kufyatuliwa mizinga miwili alianguka na kuzirai mpaka akalazwa hospitali.
Akasisitiza kwamba hizi habari ni za kweli yaani hakuna documented evidence kwa wanawake kufanya mambo hayo mawili wakaweza.
Haya magreat thinkers hebu tulidadavue na kulipekuapekua ili kujua ukweli wake.
Nawasilisha.