Genio the great
Senior Member
- Aug 29, 2022
- 159
- 491
Nimekuwa nikifuatilia sana watu maarufu mbalimbali kuanzia ujio wa prophet lovy na watu wengine maarufu maarufu kama akina, Mond nk.
Na Leo nimeona kituko hiki Cha dogo janja unakuta wanakuwa na vitu vya ajabu ambavyo Huwa vinaleta maswali, kwasabu Kwa Hali ya kawaida ni ngumu kufanya wanayofanya.
unaweza jiuliza kama ni utajiri mbona Billgate anao lakini haonekani akionyesha mambo kama haya au mo dewji anao lakini haonyeshi haya
kwann hawa Huwa wanafanya hv wakati mwingine nikaenda mbali kidgo isije ikawa tunafikri wanapenda kufanya vile kumbe ni masharti ya waganga wao Ili wafanikiwe .
Mara utoboe pua , uvae heleni, usuke, avae macheni yenye kutisha shingoni na mapete makubwa makubwa, uvae shanga Kuna wasanii Wanavaa shanga.
Huku tunapoelekea tutakuwa na jamii ya ajabu zaidi ya sijui ndugu zangu hili mnalionaje
Na Leo nimeona kituko hiki Cha dogo janja unakuta wanakuwa na vitu vya ajabu ambavyo Huwa vinaleta maswali, kwasabu Kwa Hali ya kawaida ni ngumu kufanya wanayofanya.
unaweza jiuliza kama ni utajiri mbona Billgate anao lakini haonekani akionyesha mambo kama haya au mo dewji anao lakini haonyeshi haya
kwann hawa Huwa wanafanya hv wakati mwingine nikaenda mbali kidgo isije ikawa tunafikri wanapenda kufanya vile kumbe ni masharti ya waganga wao Ili wafanikiwe .
Mara utoboe pua , uvae heleni, usuke, avae macheni yenye kutisha shingoni na mapete makubwa makubwa, uvae shanga Kuna wasanii Wanavaa shanga.
Huku tunapoelekea tutakuwa na jamii ya ajabu zaidi ya sijui ndugu zangu hili mnalionaje