duh, kweli wewe ni she
keshasema mwali kule.....mwisho wa mwaka....vikumbo vya kuanzisha thread....
keshasema mwali kule.....mwisho wa mwaka....vikumbo vya kuanzisha thread....
Kuuliza si ujinga, pengine mtu anataka kuona misuli, sasa anapata kuuliza.
Kuuliza si ujinga, pengine mtu anataka kuona misuli, sasa anapata kuuliza.
inawezekana....lakini misuli mizuri nadhani ni ya mapajani....huko anakoulizia yeye...mmmh....
keshasema mwali kule.....mwisho wa mwaka....vikumbo vya kuanzisha thread....
inawezekana....lakini misuli mizuri nadhani ni ya mapajani....huko anakoulizia yeye...mmmh....
amenisaidia kukonfem yeye ni mdada
nayo ni faida, nitpata pa kuchangamshia PM zangu
Kongosho mie nina aleji na PM za wadada...lol
nikikuPM utajua mie ni He au She?
Sawa mtoto, usiogope
sikumbuki kama nshakupm, kama sijakupm tafadhali, ngoja niache ujumbe hapa hapa hata kama usipo uona mod atakuambia. MWENZIO NAKUPENDA KIMAPENZI. SIJUI NINI NDO NINI SIJUI. ujumbe umefika. Mia