firstcollina
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 349
- 21
Wajumbe leo naomba niulize jambo nipate hekima zenu,
Miaka ya nyuma wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere jambo hili lilikuwa linawezekana, wanafunzi walilipiwa ada, walipewa fedha za matumizi hasa wale waliokuwa shule za kulala vyuo na kwingineko. walipewa fedha alimaarufu kama kichele, japo ilikuwa ndogo lakini iliwasitiri sana, walipewa sabuni, mafuta na hata wakati mwingine walipelekwa kwa treni na mabasi yaliyokuwepo. Chakula ilikuwa si shida... maana walipewa na waliula vizuri.
Hayo yote yaliwezekana licha ya ukweli kwamba nchi ilikuwa na watu wachache na hivyo uzalishaji mali ulikuwa mdogo. Vilevile ikumbukwe wakati huo haikuwa rahisi kuzalisha ziada maana hata nyenzo zilikuwa duni, lakini juu ya elimu liliwezekana.
Sasa tatizo ni kwanini mambo hayo siku hizi hayawezekani? Au ndio kusema haya kuwa na tija kwa taifa? Leo vyanzo vingi vya uchumi vinatumiwa. Madini(Tanzanite, Dhahabu,Almas n.k) Maliasili wanyama na misitu pia. Kikubwa zaidi wakati huu hata misaada toka nje imekuwa ni mingi ukilinganisha na enzi zile lakini yet haiwezekani..... Pamoja na kwamba wazazi wanajitolea kwa kuchanga michango mingi tu tena mbalimbali lakini serekali inashindwa nini kufanya yale ya kipindi kilee......
Kwa sasa watu ni wengi....kweli. lakini pia uzalishaji nao pia umeongezeka, makusanyo ya kodi nayo siyo haba. Najiuliza kwanini kule iliwezekana licha ya hali ngumu in both Social, Political, Economic and Technological aspects. Leo hii licha ya kuwepo hayo yote still haiwezekani wajumbe nisaidieni........!
Miaka ya nyuma wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere jambo hili lilikuwa linawezekana, wanafunzi walilipiwa ada, walipewa fedha za matumizi hasa wale waliokuwa shule za kulala vyuo na kwingineko. walipewa fedha alimaarufu kama kichele, japo ilikuwa ndogo lakini iliwasitiri sana, walipewa sabuni, mafuta na hata wakati mwingine walipelekwa kwa treni na mabasi yaliyokuwepo. Chakula ilikuwa si shida... maana walipewa na waliula vizuri.
Hayo yote yaliwezekana licha ya ukweli kwamba nchi ilikuwa na watu wachache na hivyo uzalishaji mali ulikuwa mdogo. Vilevile ikumbukwe wakati huo haikuwa rahisi kuzalisha ziada maana hata nyenzo zilikuwa duni, lakini juu ya elimu liliwezekana.
Sasa tatizo ni kwanini mambo hayo siku hizi hayawezekani? Au ndio kusema haya kuwa na tija kwa taifa? Leo vyanzo vingi vya uchumi vinatumiwa. Madini(Tanzanite, Dhahabu,Almas n.k) Maliasili wanyama na misitu pia. Kikubwa zaidi wakati huu hata misaada toka nje imekuwa ni mingi ukilinganisha na enzi zile lakini yet haiwezekani..... Pamoja na kwamba wazazi wanajitolea kwa kuchanga michango mingi tu tena mbalimbali lakini serekali inashindwa nini kufanya yale ya kipindi kilee......
Kwa sasa watu ni wengi....kweli. lakini pia uzalishaji nao pia umeongezeka, makusanyo ya kodi nayo siyo haba. Najiuliza kwanini kule iliwezekana licha ya hali ngumu in both Social, Political, Economic and Technological aspects. Leo hii licha ya kuwepo hayo yote still haiwezekani wajumbe nisaidieni........!