Hassani
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 710
- 1,140
Imekuwa ni kawaida wenye nyumba kunyanyasa wapangaji,kama upangishaji wa nyumba ni biashara kama biashara zingine e.g guest,hotel.kwanini usiwekwe mfumo wa kuwalazimisha wenye nyumba wapate leseni na kukubaliana na vigezo vyote vitakavyowekwa na mamlaka husika kabla ya kuanza biashara hii?.Kwanini wenye nyumba wanaachiwa kufanya watakavyo,vitu kama kumzuia mpangaji wako asisikilize gospel kisa wewe muislam,kumfungia geti akichelewa kurudi wakati yeye anafanya kazi hotelini,kumpandishia kodi utakavyo,kuzuia wageni wake eti wanajaza choo,kumfukuza mpangaji kwa madai anaringa sana,kubagua wapangaji kwa kuangalia dini,jinsia,kabila.Hivi huyu Prof Anna anasimamia makazi yapi wakati huku uswazi tunataabika?