Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 3,952
- 5,982
wana Jamii,inasikitisha kuona watoto wapo Dar live mpaka usiku wa manane,kwenye karibu matamasha yote yanayofanyika hapo.katika Picha hizi,mfano hiyo ambayo ina mpigapicha,katikati ya miguu ya mpiga picha kuna under 18 boy,je Tanzania tunaandaa kizazi gani jamani? wapi basata?Huyu Shigongo Mbona amwogopi Mungu japo anajiita mzee wa kanisa?