Historia ya Paul Makonda iwasisimue Vijana

Rai yangu, Historia ya Paul Makonda Iwasisimue (inspire)Vijana wanapokutana na changamoto kwenye maisha na kujifunza namna ya kushinda.

Juzi hivi nilipata kumsikiliza Mh Paul Makonda akielezea historia ya maisha yake iliyojaa changamoto nyingi. Clip hiyo ikanikumbusha maneno aliyoniambia Paul Makonda mwaka 2009 wakati tunakwenda Dodoma. Alivyoeleza kwenye clip ndivyo alivyonisimulia siku ile tukiwa safarini kwenda Dodoma. Siku ile alipokuwa akinisimulia aliishia kulia kwa uchungu. Pia niliumia sana.

Alipokuwa akinisimulia, mara kwa mara Paul Makonda alisema "lakini sikukata tamaa niliendelea kumtumaini Mungu". Hakukata tamaa na ndiyo sababu ya yeye kufika alipofika.

Kuna picha inaonyeshwa na kudaiwa hapo ndipo alipozaliwa. Sehemu duni. Kuna picha zinaonyeshwa Paul akiwa kwenye mazingira duni, kuna picha zinamwonyesha akilia, lengo ni kumdhalilisha.
Rejeeni historia za watu maarufu duniani leo, wengi walikuwa watu wa kawaida na huenda duni lakini walikabiliana na changamoto bila kukata tamaa na wakashinda. Mmoja ni Baraka Obama.

Obama kwao ni Kenya. Na alipokuwa anagombea mara ya kwanza republicans walitoa picha ya Obama akiwa na bibi yake kijijini kwenye nyumba duni, lengo wamdhalilishe. Obama hakukata tamaa na hatimae akawa rais wa Marekani ambayo yalikuwa makusudi ya Mungu.

Hakuna binaadam amayepanga azaliwe wapi na wazazi wapi. Watu wengi, kwa kukabiliana na changamoto katika maisha hufanikiwa kubadili maisha yao na kufikia mafanikio makubwa, hasa kwa kutokata tamaa na kumtumaini Mungu. Vijana nilidhani mngejifunza hilo kwa Paul Makonda badala ya kukejeli.

Kingine ambacho nimeona nikiandike, mimi ukweli nashangaa kuona wengi wanaomdhihaki Paul Makonda siyo wapagani. Ni watu wenye dini, tena dini maarufu. Inasikitisha sana.

Kuwa na dini na kumjua Mungu ni vitu viwili tofauti. Unaweza kuwa kiongozi wa dini lakini humjui Mungu wa Kweli. Tabia moja kuu ya Mungu ni upendo. Mungu ni pendo. Pendo huvumilia, hustahimili, nk. Hivyo, tabia hii inatakiwa kudhihirika kwa watumishi wa Mungu.

Yesu Kristo alimfunua au alidhihiridha upendo wa Mungu alipokuwa msalabani akiteseka ili aukomboe ulimwengu. Akiwa msalabani alisamehe, hakulaani. Alipnyesha upendo wa Mungu. Alipotukana na kudhihakiwa hakurudidha mashambulizi bali alibariki. Aliposingiziwa, hakuwatisha waliomsingizia bali aliwaombea. Yesu Kristo alitoa pepo na kuyaelekeza apepo yaende kwa nguruwe, hakuyapeleka kwa binaadamu aliokuja kuwaokoa.

Lakini hali inavyoonekana sasa inasikitisha. Hilo nalo tujifunze.

Vijana wengi wanaangamia kwa kutumia madawa ya kulevya. Bila hatua madhubuti kuchukiliwa, ninahofu inawezekana Tanzania ikatawaliwa tena. Tena kirahisi tu. Hapatakuwa na rasilimali watu wenye kuwajibika na kulilinda Taifa hili.

Paul Makonda kadhubutu, vijana na watanzania kwa ujumla, tuache itikadi ya vyama vya siasa tuunge mkono juhudi za kupiga vita madawa ya kulevya kwani madawa ya kulevya yanalingamiza taifa.
Wewe Mzee vp?
Historia ya kufoji vyeti ndo unataka iwasisimue vijana?! Aibu gani hii!

Makonda anabahati hadi leo wazazi wake wapo hai. Wenzio tulipoteza wazazi hata kabla ya kuanza darasa la kwanza, tulianza kuhudumia familia tulizoachiwa na wazazi kwa Maana ya wadogo zetu tukiwa pado primary lakini Tulipambana na tukafanikiwa. Leo hii unawataka vijana wa TZ wajifunze kwa mtu aliyefoji vyeti? Wajifunze kitu gani haswa?

Mbinu ya kulia ndio mbinu ambayo amekuwa akitumia kufanikisha analolitaka na kupitia kipawa cha kusimulia historia yake kwa uchungu alipata ukombozi kupitia kwa Wakubwa kama Mzee mabina na baadaye Samuel Sita (wapumzike kwa amani)

Wengine tukisimulia historia yetu ambaye huwa analia ni anaye simuliwa sio mimi ninaye simulia. Tumeanzia kwenye sifuri leo hii tumefanikiwa kwa juhudi bila kulamba miguu ama kufunga kamba viatu vya mkubwa na ama kufoji vyeti.

Historia ya wizi mfano huu wa kitaaluma haiwezi na haipaswi kuhamashisha vijana wetu
 
Naam vijana tunapiga vita madawa ya kulevya na tunaounga mkono wote wenye kushiriki kwa namna moja au nyingine kupambana na mihadarati Lakini pia tunapiga vita ukanjanja katika elimu. Tunaona kuwa ni haki pia tuhuma hizi zihakikiwe na hatua zichukuliweaama kumsafisha au kumwajibisha. Je unaunga mkono kufoji vyeti? Je ni tuhuma nyepesi kwako hizo?

ingekuwa ni jambo la busara zaidi kama huyo aliyewahaminisha kuwa makonda ana vyeti bandia awaoneshe hivyo vyeti .maana yeye amesema 100% anao ushahidi wa vyeti fake vya makonda.
 
Rai yangu, Historia ya Paul Makonda Iwasisimue (inspire)Vijana wanapokutana na changamoto kwenye maisha na kujifunza namna ya kushinda.

Juzi hivi nilipata kumsikiliza Mh Paul Makonda akielezea historia ya maisha yake iliyojaa changamoto nyingi. Clip hiyo ikanikumbusha maneno aliyoniambia Paul Makonda mwaka 2009 wakati tunakwenda Dodoma. Alivyoeleza kwenye clip ndivyo alivyonisimulia siku ile tukiwa safarini kwenda Dodoma. Siku ile alipokuwa akinisimulia aliishia kulia kwa uchungu. Pia niliumia sana.

Alipokuwa akinisimulia, mara kwa mara Paul Makonda alisema "lakini sikukata tamaa niliendelea kumtumaini Mungu". Hakukata tamaa na ndiyo sababu ya yeye kufika alipofika.

Kuna picha inaonyeshwa na kudaiwa hapo ndipo alipozaliwa. Sehemu duni. Kuna picha zinaonyeshwa Paul akiwa kwenye mazingira duni, kuna picha zinamwonyesha akilia, lengo ni kumdhalilisha.
Rejeeni historia za watu maarufu duniani leo, wengi walikuwa watu wa kawaida na huenda duni lakini walikabiliana na changamoto bila kukata tamaa na wakashinda. Mmoja ni Baraka Obama.

Obama kwao ni Kenya. Na alipokuwa anagombea mara ya kwanza republicans walitoa picha ya Obama akiwa na bibi yake kijijini kwenye nyumba duni, lengo wamdhalilishe. Obama hakukata tamaa na hatimae akawa rais wa Marekani ambayo yalikuwa makusudi ya Mungu.

Hakuna binaadam amayepanga azaliwe wapi na wazazi wapi. Watu wengi, kwa kukabiliana na changamoto katika maisha hufanikiwa kubadili maisha yao na kufikia mafanikio makubwa, hasa kwa kutokata tamaa na kumtumaini Mungu. Vijana nilidhani mngejifunza hilo kwa Paul Makonda badala ya kukejeli.

Kingine ambacho nimeona nikiandike, mimi ukweli nashangaa kuona wengi wanaomdhihaki Paul Makonda siyo wapagani. Ni watu wenye dini, tena dini maarufu. Inasikitisha sana.

Kuwa na dini na kumjua Mungu ni vitu viwili tofauti. Unaweza kuwa kiongozi wa dini lakini humjui Mungu wa Kweli. Tabia moja kuu ya Mungu ni upendo. Mungu ni pendo. Pendo huvumilia, hustahimili, nk. Hivyo, tabia hii inatakiwa kudhihirika kwa watumishi wa Mungu.

Yesu Kristo alimfunua au alidhihiridha upendo wa Mungu alipokuwa msalabani akiteseka ili aukomboe ulimwengu. Akiwa msalabani alisamehe, hakulaani. Alipnyesha upendo wa Mungu. Alipotukana na kudhihakiwa hakurudidha mashambulizi bali alibariki. Aliposingiziwa, hakuwatisha waliomsingizia bali aliwaombea. Yesu Kristo alitoa pepo na kuyaelekeza apepo yaende kwa nguruwe, hakuyapeleka kwa binaadamu aliokuja kuwaokoa.

Lakini hali inavyoonekana sasa inasikitisha. Hilo nalo tujifunze.

Vijana wengi wanaangamia kwa kutumia madawa ya kulevya. Bila hatua madhubuti kuchukiliwa, ninahofu inawezekana Tanzania ikatawaliwa tena. Tena kirahisi tu. Hapatakuwa na rasilimali watu wenye kuwajibika na kulilinda Taifa hili.

Paul Makonda kadhubutu, vijana na watanzania kwa ujumla, tuache itikadi ya vyama vya siasa tuunge mkono juhudi za kupiga vita madawa ya kulevya kwani madawa ya kulevya yanalingamiza taifa.
Inaonekana na wewe ni walewale .. nenda sasa ukamfunge gidamu za viatu vyake ili akupe shavu!

Umenipotezea muda wangu!
 
Rai yangu, Historia ya Paul Makonda Iwasisimue (inspire)Vijana wanapokutana na changamoto kwenye maisha na kujifunza namna ya kushinda.

Juzi hivi nilipata kumsikiliza Mh Paul Makonda akielezea historia ya maisha yake iliyojaa changamoto nyingi. Clip hiyo ikanikumbusha maneno aliyoniambia Paul Makonda mwaka 2009 wakati tunakwenda Dodoma. Alivyoeleza kwenye clip ndivyo alivyonisimulia siku ile tukiwa safarini kwenda Dodoma. Siku ile alipokuwa akinisimulia aliishia kulia kwa uchungu. Pia niliumia sana.

Alipokuwa akinisimulia, mara kwa mara Paul Makonda alisema "lakini sikukata tamaa niliendelea kumtumaini Mungu". Hakukata tamaa na ndiyo sababu ya yeye kufika alipofika.

Kuna picha inaonyeshwa na kudaiwa hapo ndipo alipozaliwa. Sehemu duni. Kuna picha zinaonyeshwa Paul akiwa kwenye mazingira duni, kuna picha zinamwonyesha akilia, lengo ni kumdhalilisha.
Rejeeni historia za watu maarufu duniani leo, wengi walikuwa watu wa kawaida na huenda duni lakini walikabiliana na changamoto bila kukata tamaa na wakashinda. Mmoja ni Baraka Obama.

Obama kwao ni Kenya. Na alipokuwa anagombea mara ya kwanza republicans walitoa picha ya Obama akiwa na bibi yake kijijini kwenye nyumba duni, lengo wamdhalilishe. Obama hakukata tamaa na hatimae akawa rais wa Marekani ambayo yalikuwa makusudi ya Mungu.

Hakuna binaadam amayepanga azaliwe wapi na wazazi wapi. Watu wengi, kwa kukabiliana na changamoto katika maisha hufanikiwa kubadili maisha yao na kufikia mafanikio makubwa, hasa kwa kutokata tamaa na kumtumaini Mungu. Vijana nilidhani mngejifunza hilo kwa Paul Makonda badala ya kukejeli.

Kingine ambacho nimeona nikiandike, mimi ukweli nashangaa kuona wengi wanaomdhihaki Paul Makonda siyo wapagani. Ni watu wenye dini, tena dini maarufu. Inasikitisha sana.

Kuwa na dini na kumjua Mungu ni vitu viwili tofauti. Unaweza kuwa kiongozi wa dini lakini humjui Mungu wa Kweli. Tabia moja kuu ya Mungu ni upendo. Mungu ni pendo. Pendo huvumilia, hustahimili, nk. Hivyo, tabia hii inatakiwa kudhihirika kwa watumishi wa Mungu.

Yesu Kristo alimfunua au alidhihiridha upendo wa Mungu alipokuwa msalabani akiteseka ili aukomboe ulimwengu. Akiwa msalabani alisamehe, hakulaani. Alipnyesha upendo wa Mungu. Alipotukana na kudhihakiwa hakurudidha mashambulizi bali alibariki. Aliposingiziwa, hakuwatisha waliomsingizia bali aliwaombea. Yesu Kristo alitoa pepo na kuyaelekeza apepo yaende kwa nguruwe, hakuyapeleka kwa binaadamu aliokuja kuwaokoa.

Lakini hali inavyoonekana sasa inasikitisha. Hilo nalo tujifunze.

Vijana wengi wanaangamia kwa kutumia madawa ya kulevya. Bila hatua madhubuti kuchukiliwa, ninahofu inawezekana Tanzania ikatawaliwa tena. Tena kirahisi tu. Hapatakuwa na rasilimali watu wenye kuwajibika na kulilinda Taifa hili.

Paul Makonda kadhubutu, vijana na watanzania kwa ujumla, tuache itikadi ya vyama vya siasa tuunge mkono juhudi za kupiga vita madawa ya kulevya kwani madawa ya kulevya yanalingamiza taifa.
Wewe babu wewe usitutoe kwenye hoja ya msingi kwa kutumia bendera ya dini. Wakati huyo Bashite anawadhalilisha watu kwa kuwataja majina hadharani na huku wengi hawahusiki na mihadarati, alikuwa akitimiza matakwa ya shetani au ya Mungu? Mungu anapenda kuwadhalilisha watu pasina hatia? Niyeye mwenye jukumu la kusema huyu mkosaji na huyu hana hatia? Naona unajiona unaongea busara kumbe pumba tupu.

Huyo huyo Bashite ameanza kuhatarisha amani ya nchi yetu na mahusiano mazuri tuliyonayo kwa kutangaza wazi kuwa lengo la mamlaka aliyonayo ni kufanya jina la Yesu liwe juu? Is this a Christian state? He must be mistaken.

Watu wakiambiwa Bashite hakufaulu kidato cha Nne badala yake alitumia cheti cha Paul Christian wao wanaona kufanya hivi ni kuzuia jina la Yesu lisiwe juu! Hahahaha utterly rubbish. Lazima tufikie pahala tupiganie Ukweli, haki na Uadilifu. The war on drugs can win without Bashite guys! Come on


Kama Mungu akitaka jina la Yesu liwe juu, litakuwa juu tu hata bila ya Bashite kutia mkono wake. Bashite aliimaliza nguvu kisheria vita dhidi ya mihadarati kwani huwezi kumtangazia adui unakuja kumvamia siku fulani halafu ukamkuta amelala anakusubiri uje umuue.

Mwisho natoa Rai kwa mzee huyu babu huruma kuwa Vijana waliofaulu wenye vyeti halali na elimu halali tupo na kazi tunaiweza.

Drama in this country has to mark its end, it is possible.
 
Wewe maskini ambaye huna mbele wala nyuma, ukipelekwa mahamakani sasa hivi ukatoe ushahidi kuhusu vyeti fake utatoa? Ebu kahangaike uondoe umaskini kwenye familia yenu,maana makonda ukoo wenu mzima hamumpati, inshort sio level yenu
Kwa mahakamani, mahakama itaamuru Mwalimu MKUU wa koromije alete rejesta anayoandikishia wanafunzi, MKUU wa SHULE ya pamba Sekondari hali kadhalika pamoja na necta! Ikiwa ni pamoja na picha ya mhusika! Hapo ndipo watu wataona admission number ya Daudi Bashite na picha yake! Walimu waliomfundisha primary na Sekondari ni mashahidi wataambiwa wamtambue Daudi! Wanafunzi wenzake baadhi wataitwa wamtambue Daudi! Mahakama siyo mama yako! Ana uwezo wa kufanya usanii misikitini na kanisani lakini siyo mahakamani! Ubavu wa kujitosa mahakamani hana! Angekuwa Nao angempeleka Gwajima!
 
Kumbe Bashite ni tajiri sana eeh!? Utajiri wake ni kama Wa Mengi , Bakhressa au Manji!? Sasa mbona anakuwa mjinga Wa kujiliza makanisani!? Anaweza kujiajiri hata umachinga tu kama Mimi. Tena sasa hivi hatusumbuliwi kwa amri ya baba yake.
Toka muanze kupiga kelele kuhusu vyeti mmeona serikali inajishughulisha? Kwa sababu wanajua ni makelele ya wanancho maskini ambao hawana maisha,hawana mbel wala nyuma wanahangaika na mtu ambaye hata wafanye kazi miaka kumi hawawezi kumfikia
 
Chupa yenye wanzuki ikiinamishwa haiwezi kumwaga maziwa ............. mtoa mada umemwaga kilichoko kichwani mwako, NIMEKUSAMEHE!
 
Hayo uliyoeleza ya uchafu Mkuu wa Mkoa ndio kazi yake kusimamia? kama humuamini DPP mwandikie huyo aliyemteua achukue hatua usimkejeli Makonda! kwa hiyo Mkuu wa Mkoa ndiyo apambane na majambazi au? kama Makonda anaweza kupambana na biashara haramu ya madawa ya kulevya unadhani wewe hana mbinu na uwezo wa kupambana na ujambazi unaousema??
Umeona kitu? Sijawahi kumkejeli Makonda/ Bashite lakini umeamua kusema hivyo.

Unauliza kama RC anatakiwa kuzuia majambazi na ujambazi kwani haujui kama ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi? Ambayo hiyo kamati mpaka maaskari wamo.

Makonda hajapambana na madawa hata kidogo. Hapa ndiyo nashindwa kuelewa baadhi ya watu akili wameziacha wapi, muda wote yupo na GSM ambao wana tuhuma za kujihusisha na drugs na utakatishaji fedha lakini hakuna hata mmoja aliyetajwa.
Ameenda SA ripoti zinaonesha kapokelewa na mhusika mkuu wa madawa huku tiketi ikiwa imelipiwa na GSM.

Hata mwanaCCM mwenzie (Nape) alijitahidi kuuliza maswali ya msingi "Unamuambiaje mwizi keshokutwa nitakuja kukukamat?" Wewe unashindwa nini kujiuliza? Hii approach ndiyo inasadifu akili zake zilivyo.

Of course hawezi kupambana na ujambazi kwanza hana mikakati, mipango, sera wala uwezo wa kusimamia hivyo vyote.
Pili hao askari wenyewe wanaoperate kama majambazi, wiki mbili mfululizo askari wanakamata kila bodaboda wanayemkuta hawakuulizi kama una leseni, au chochote ni kukamata tu hata kama umepaki nyumbani kwako. Kuna chuki miongoni wa raia kuwaelekea askari.
 
Kumbe Bashite ni tajiri sana eeh!? Utajiri wake ni kama Wa Mengi , Bakhressa au Manji!? Sasa mbona anakuwa mjinga Wa kujiliza makanisani!? Anaweza kujiajiri hata umachinga tu kama Mimi. Tena sasa hivi hatusumbuliwi kwa amri ya baba yake.
Nakwambiaje ,makonda sio level yako kaka unajisumbua
 
Mzee Mpendazoe,,watu hawana shida na maisha binafsi ya Mako,wala hawana shida na vita ya madawa,watu wana shida na ELIMU ya Mako.
Wanaohoji tuhuma dhidi yake sio wauza madawa,bali ni vijana kama yeye,waliopitia shida huenda kuliko alizopitia yeye,wakapambana hadi mwisho na kupata vyeti vyao katika njia halali,tena kwa jasho sana.Sasa inawauma kusikia tuhuma mtu ameghushi vyeti.
Njia pekee ni kujibu tuhuma husika na kujisafisha mbele ya jamii,hilo tu,basi.
 
Huyu Mpendazoote anataka kusema kwamba watu waliodhalilishwa na Makonda a.k.a Bashite wao wahakupitia vipindi vigumu? hawamtumaini Mungu?

Makonda anatuhumiwa kufanya udanganyifu wa kitaaluma, kelele mnazozisikia ni za kumtaka athibitishe tuhuma hizo wewe unazungumzia masuala ya kupitia maisha magumu kwani sisi wengine hatujapitia maisha magumu? Makonda athibitishe kama kweli yeye ni Paul Makonda na sio Daudi Bashite.
 
Mshauri aweke vyeti, acha porojo nyingi.

Amuunge mkono kama nani? Fanyeni kazi acheni majungu, in short makonda sio type yenu kabisaa, jamaa yuko mbali kimaisha, mnavytukana haisaidii chochote
Ni kweli yuko mbali lakini Daudi katumia njia chafu za udanganyifu wa cheti! Cheti alichotumia kupanda ngazi siyo chake!
Ndiyo maana mhusika hana hata ubavu wa kuzizungumzia tuhuma na hawezi kuonyesha cheti chenye jina alilosajiliwa shuleni na alilofanyia mtihani!
Daudi kama unasingiziwa maliza ubishi kwa kuweka vyeti hadharani! Vinginevyo hutakwepa mkono wa sheria kama siyo leo kesho!
 
Rai yangu, Historia ya Paul Makonda Iwasisimue (inspire)Vijana wanapokutana na changamoto kwenye maisha na kujifunza namna ya kushinda.

Juzi hivi nilipata kumsikiliza Mh Paul Makonda akielezea historia ya maisha yake iliyojaa changamoto nyingi. Clip hiyo ikanikumbusha maneno aliyoniambia Paul Makonda mwaka 2009 wakati tunakwenda Dodoma. Alivyoeleza kwenye clip ndivyo alivyonisimulia siku ile tukiwa safarini kwenda Dodoma. Siku ile alipokuwa akinisimulia aliishia kulia kwa uchungu. Pia niliumia sana.

Alipokuwa akinisimulia, mara kwa mara Paul Makonda alisema "lakini sikukata tamaa niliendelea kumtumaini Mungu". Hakukata tamaa na ndiyo sababu ya yeye kufika alipofika.

Kuna picha inaonyeshwa na kudaiwa hapo ndipo alipozaliwa. Sehemu duni. Kuna picha zinaonyeshwa Paul akiwa kwenye mazingira duni, kuna picha zinamwonyesha akilia, lengo ni kumdhalilisha.
Rejeeni historia za watu maarufu duniani leo, wengi walikuwa watu wa kawaida na huenda duni lakini walikabiliana na changamoto bila kukata tamaa na wakashinda. Mmoja ni Baraka Obama.

Obama kwao ni Kenya. Na alipokuwa anagombea mara ya kwanza republicans walitoa picha ya Obama akiwa na bibi yake kijijini kwenye nyumba duni, lengo wamdhalilishe. Obama hakukata tamaa na hatimae akawa rais wa Marekani ambayo yalikuwa makusudi ya Mungu.

Hakuna binaadam amayepanga azaliwe wapi na wazazi wapi. Watu wengi, kwa kukabiliana na changamoto katika maisha hufanikiwa kubadili maisha yao na kufikia mafanikio makubwa, hasa kwa kutokata tamaa na kumtumaini Mungu. Vijana nilidhani mngejifunza hilo kwa Paul Makonda badala ya kukejeli.

Kingine ambacho nimeona nikiandike, mimi ukweli nashangaa kuona wengi wanaomdhihaki Paul Makonda siyo wapagani. Ni watu wenye dini, tena dini maarufu. Inasikitisha sana.

Kuwa na dini na kumjua Mungu ni vitu viwili tofauti. Unaweza kuwa kiongozi wa dini lakini humjui Mungu wa Kweli. Tabia moja kuu ya Mungu ni upendo. Mungu ni pendo. Pendo huvumilia, hustahimili, nk. Hivyo, tabia hii inatakiwa kudhihirika kwa watumishi wa Mungu.

Yesu Kristo alimfunua au alidhihiridha upendo wa Mungu alipokuwa msalabani akiteseka ili aukomboe ulimwengu. Akiwa msalabani alisamehe, hakulaani. Alipnyesha upendo wa Mungu. Alipotukana na kudhihakiwa hakurudidha mashambulizi bali alibariki. Aliposingiziwa, hakuwatisha waliomsingizia bali aliwaombea. Yesu Kristo alitoa pepo na kuyaelekeza apepo yaende kwa nguruwe, hakuyapeleka kwa binaadamu aliokuja kuwaokoa.

Lakini hali inavyoonekana sasa inasikitisha. Hilo nalo tujifunze.

Vijana wengi wanaangamia kwa kutumia madawa ya kulevya. Bila hatua madhubuti kuchukiliwa, ninahofu inawezekana Tanzania ikatawaliwa tena. Tena kirahisi tu. Hapatakuwa na rasilimali watu wenye kuwajibika na kulilinda Taifa hili.

Paul Makonda kadhubutu, vijana na watanzania kwa ujumla, tuache itikadi ya vyama vya siasa tuunge mkono juhudi za kupiga vita madawa ya kulevya kwani madawa ya kulevya yanalingamiza taifa.
Kwa kufoji Vyeti

Ova
 
itusisimue kwenye kuiba vyeti vya watu
sasa hivi yuko wapi kama sio na haohao wauza sembe
msitufanye hatuna akili
 
Hii nchi ina mata hira wengi sana,swala ni vyeti anavyotumia inasadikika ni vya mtu mwingine.
VYETI VYETI VYETI VYETI VYETI VYETI VYETI VYETI VYETI VYETI VYETI VYETI VYETI VYETI.
TUACHE UZOMBI.maana wapo wengi walofukuzwa kazi,yeye anasubiri nini kama hana vyeti???
 
Rai yangu, Historia ya Paul Makonda Iwasisimue (inspire)Vijana wanapokutana na changamoto kwenye maisha na kujifunza namna ya kushinda.

Juzi hivi nilipata kumsikiliza Mh Paul Makonda akielezea historia ya maisha yake iliyojaa changamoto nyingi. Clip hiyo ikanikumbusha maneno aliyoniambia Paul Makonda mwaka 2009 wakati tunakwenda Dodoma. Alivyoeleza kwenye clip ndivyo alivyonisimulia siku ile tukiwa safarini kwenda Dodoma. Siku ile alipokuwa akinisimulia aliishia kulia kwa uchungu. Pia niliumia sana.

Alipokuwa akinisimulia, mara kwa mara Paul Makonda alisema "lakini sikukata tamaa niliendelea kumtumaini Mungu". Hakukata tamaa na ndiyo sababu ya yeye kufika alipofika.

Kuna picha inaonyeshwa na kudaiwa hapo ndipo alipozaliwa. Sehemu duni. Kuna picha zinaonyeshwa Paul akiwa kwenye mazingira duni, kuna picha zinamwonyesha akilia, lengo ni kumdhalilisha.
Rejeeni historia za watu maarufu duniani leo, wengi walikuwa watu wa kawaida na huenda duni lakini walikabiliana na changamoto bila kukata tamaa na wakashinda. Mmoja ni Baraka Obama.

Obama kwao ni Kenya. Na alipokuwa anagombea mara ya kwanza republicans walitoa picha ya Obama akiwa na bibi yake kijijini kwenye nyumba duni, lengo wamdhalilishe. Obama hakukata tamaa na hatimae akawa rais wa Marekani ambayo yalikuwa makusudi ya Mungu.

Hakuna binaadam amayepanga azaliwe wapi na wazazi wapi. Watu wengi, kwa kukabiliana na changamoto katika maisha hufanikiwa kubadili maisha yao na kufikia mafanikio makubwa, hasa kwa kutokata tamaa na kumtumaini Mungu. Vijana nilidhani mngejifunza hilo kwa Paul Makonda badala ya kukejeli.

Kingine ambacho nimeona nikiandike, mimi ukweli nashangaa kuona wengi wanaomdhihaki Paul Makonda siyo wapagani. Ni watu wenye dini, tena dini maarufu. Inasikitisha sana.

Kuwa na dini na kumjua Mungu ni vitu viwili tofauti. Unaweza kuwa kiongozi wa dini lakini humjui Mungu wa Kweli. Tabia moja kuu ya Mungu ni upendo. Mungu ni pendo. Pendo huvumilia, hustahimili, nk. Hivyo, tabia hii inatakiwa kudhihirika kwa watumishi wa Mungu.

Yesu Kristo alimfunua au alidhihiridha upendo wa Mungu alipokuwa msalabani akiteseka ili aukomboe ulimwengu. Akiwa msalabani alisamehe, hakulaani. Alipnyesha upendo wa Mungu. Alipotukana na kudhihakiwa hakurudidha mashambulizi bali alibariki. Aliposingiziwa, hakuwatisha waliomsingizia bali aliwaombea. Yesu Kristo alitoa pepo na kuyaelekeza apepo yaende kwa nguruwe, hakuyapeleka kwa binaadamu aliokuja kuwaokoa.

Lakini hali inavyoonekana sasa inasikitisha. Hilo nalo tujifunze.

Vijana wengi wanaangamia kwa kutumia madawa ya kulevya. Bila hatua madhubuti kuchukiliwa, ninahofu inawezekana Tanzania ikatawaliwa tena. Tena kirahisi tu. Hapatakuwa na rasilimali watu wenye kuwajibika na kulilinda Taifa hili.

Paul Makonda kadhubutu, vijana na watanzania kwa ujumla, tuache itikadi ya vyama vya siasa tuunge mkono juhudi za kupiga vita madawa ya kulevya kwani madawa ya kulevya yanalingamiza taifa.
Hapo vyeti kwa Mfano vinaingia sehemu gani sasa maana naona maneno tu
 
Unasema pendo uvimilia, hustaimili nk. Ebu nambie unapomsifia makonda tuoneshe uvumilivu na ustaimilivu wake kuwakejeli viongozi wa chini yake, kama mama mmoja afisa ardhi alipomshtaki na kumnenea uongo mbele ya rais meya wa jiji pale magomeni kota....ishu ya kabwe......nk... Hata kama hawa walikua na makosa kulikua nataratibu zake...siyo kubwatuka bwatuka tu arafu unamsifu kua ni mtu mzuri....
Angalau ya kina nchemba wana mapungufu yao lakini wana sense ya upendo ndani yao ndo mana kwenye ishu ya vyeti hawakushambuliwa kama makonda
 
Ni kweli yuko mbali lakini Daudi katumia njia chafu za udanganyifu wa cheti! Cheti alichotumia kupanda ngazi siyo chake!
Ndiyo maana mhusika hana hata ubavu wa kuzizungumzia tuhuma na hawezi kuonyesha cheti chenye jina alilosajiliwa shuleni na alilofanyia mtihani!
Daudi kama unasingiziwa maliza ubishi kwa kuweka vyeti hadharani! Vinginevyo hutakwepa mkono wa sheria kama siyo leo kesho!
Copied

Ova
 
Back
Top Bottom