Kamanda Moshi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,876
- 2,654
Nashukuru umeniruhusu... Nilitaka tu kujua ni mahusiano ya aina gani wapenda kwa maana unapenda nani awe na upper say na vitendo? Are you OK ukiwa mkononi kwa mwanamke ili mradi tu ni mzuri na ana uwezo? Kukulipia bill yako sio tatizo, tatizo linakuja;
- Kakuita 'boy' ina maana kakuona ni mvulana tu sio mwanaume, yaani bado mtoto.
- Inaonekana alikuja kuketi ulipo sababu aliona unafaa kutumika. Yaani utamfaa kwa tasnia yake hio ya movie... Akajua kabisa akiketi karibu na wewe atapata tu attention yako na ndio maana kakuachia Biz card yake.
- Inaonesha yupo step ahead of you kuliko wewe! Lol.
Ndio maana nikasema kuwa nahofia kuwa nitauwa vibe yako... Sidhani kama hilo ni zari la mentali na kama ni hivo basi possibility ni ndogo sana. Uzuri wa hili naweza kuwa nimekosea... hahaha!
Very Matured, Well Said, i have nothing to add.
Heshima sana kwako. na like yangu u deserve!