lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,306
- 34,283
USA vs IraqUrusi inachofanya huko Ukraine ni ugaidi na uhalifu wa kivita.
USA vs talaban
Usa vs Vietnam.
NATO vs Yugoslavia.
USA in Syria.
USA in Korea.
USA in somalia.
USA in Panama.
USA in Granada.
USA in Libya.
USA in middle east.
Need I say more?
Yaani mnampenda USA na mambo yake yote.
Anataka Dunia nzima wanaume kwa wanaume tuingiliane kinyume na maumbile watu wanamuunga mkono.akishambulia nchi nyingine ni sawa akisogeza majeshi jirani na Urusi Urusi Hana haki ya kupinga.