Hili ndilo jeshi kamili la wanaume 25 Yanga FC 2013-14!!!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
7,113
930
Atimae Yanga wamekamilisha usajiri wao kwa 99% kwa ajiri ya klabu bingwa africa na ligi kuu bara.

Katika usajiri mpya klabu ya Yanga imewaacha baadhi ya wachezaji na kuwapeleka wengine kwa mikopo katika baadhi ya clubs nyingine za ligi kuu.
Wachezaji walioachwa ni pamoja na nahodha na mchezaji mkongwe Shadrack Nsajigwa ambaye amepewa kazi maalumu ktk benchi la ufundi,wengine walioachwa ni pamoja na Nurdin Bakari,Stephano Mwasika,Yaw Berko,Godfrey Taita,Shamte Ally,Rashidi Gumbo,Idrisa Rashidi na kipa Saidi Mohamed ingawa Hamisi Kiiza bado suala lake limewekwa pembeni kwa muda maana wanafanya makubaliano na striker wa kigeni na mambo yakienda vizuri wataachana na Kiiza.

Watakao tolewa kwa mkopo ni Ibrahi Job(anatafutiwa timu)Ladislaus Mbogo(Rhino ya tabora)Omega Seme(tanzania prison)Rehani Kipingu na John Banda(ashanti united)

Kikosi kipya kitakua na wachezaji 25 na wanne watakua ni wa kigeni.

Makipa:Ali Mustafa,Deo Munishi na Yusuph Abdul.Mabeki wa kulia ni:Mbuyu Twite na Juma Abdul huku kushoto wakiwa ni Oscar Joshua na David Luhende,mabeki wa kati ni Nadir Haroub,Kelvin Yondani na Rajabu Zahir.
Viungo ni Athumani Idd chuji,Frank Domayo,Haruna Niyonzima,Somon Msuva,Salum Telela,Reliants Lusajo,Nizar Khalfan,Washambiliaji ni Didier Kavumbagu,Jerryson Tegete,Mrisho Ngasa,Shabani Kondo na Huseni Javu(22players).

Imebaki nafasi ya wachezaji watatu ili kukamilisha idadi ya wachezaji 25,na katika wachezaji hao watatu mmoja ni mshambuliaji kutoka nchi za africa magharibi na wachezaji wawili watapandishwa kutoka katika timu ya vijana.

Huo ndio mziki wa Yanga naomba kuwasilisha:
 
KIkosi cha matumaini,bila shaka ubingwa ni wazi kwao kwa mara nyingine tena
 
Wapi kabange twitee???
Mkuu kuanzia msimu wa 2014-15 timu za ligi kuu zitakua zinasajiri wachezaji watatu tuu wa kigeni.

Kwa kulijua hilo Yanga imeamua kuchanga karata zake vzr ili kukwepa hasara ya kuwalipa wachezaji fidia ya kuachwa.

That's why wanamfukuzia mshambuliaji kutoka nigeria ambaye ilikua aende kujiunga na timu fulani ya Ureno lakini kutokana na dau la Yanga kua zuri kwake kaamua kuja Yanga tanzania tanzania.

Pia Yanga wamefanya usajiri huo maana wamepanga kufika mbali msimu huu ktk ligi ya mabingwa africa.
 
Kavumbagu atarudi tena kwenye zama zake za kupiga mabao. Atatisha sana, mark my words
 
Atimae Yanga wamekamilisha usajiri wao kwa 99% kwa ajiri ya klabu bingwa africa na ligi kuu bara.

Katika usajiri mpya klabu ya Yanga imewaacha baadhi ya wachezaji na kuwapeleka wengine kwa mikopo katika baadhi ya clubs nyingine za ligi kuu.
Wachezaji walioachwa ni pamoja na nahodha na mchezaji mkongwe Shadrack Nsajigwa ambaye amepewa kazi maalumu ktk benchi la ufundi,wengine walioachwa ni pamoja na Nurdin Bakari,Stephano Mwasika,Yaw Berko,Godfrey Taita,Shamte Ally,Rashidi Gumbo,Idrisa Rashidi na kipa Saidi Mohamed ingawa Hamisi Kiiza bado suala lake limewekwa pembeni kwa muda maana wanafanya makubaliano na striker wa kigeni na mambo yakienda vizuri wataachana na Kiiza.

Watakao tolewa kwa mkopo ni Ibrahi Job(anatafutiwa timu)Ladislaus Mbogo(Rhino ya tabora)Omega Seme(tanzania prison)Rehani Kipingu na John Banda(ashanti united)

Kikosi kipya kitakua na wachezaji 25 na wanne watakua ni wa kigeni.

Makipa:Ali Mustafa,Deo Munishi na Yusuph Abdul.Mabeki wa kulia ni:Mbuyu Twite na Juma Abdul huku kushoto wakiwa ni Oscar Joshua na David Luhende,mabeki wa kati ni Nadir Haroub,Kelvin Yondani na Rajabu Zahir.
Viungo ni Athumani Idd chuji,Frank Domayo,Haruna Niyonzima,Somon Msuva,Salum Telela,Reliants Lusajo,Nizar Khalfan,Washambiliaji ni Didier Kavumbagu,Jerryson Tegete,Mrisho Ngasa,Shabani Kondo na Huseni Javu(22players).

Imebaki nafasi ya wachezaji watatu ili kukamilisha idadi ya wachezaji 25,na katika wachezaji hao watatu mmoja ni mshambuliaji kutoka nchi za africa magharibi na wachezaji wawili watapandishwa kutoka katika timu ya vijana.

Huo ndio mziki wa Yanga naomba kuwasilisha:
Hamna lolote ngoja michuano ianze muone
 
kwa wachezaji hao lazima Azam aanze kuandika história mpya ktk soka la Bongo
 
Mkuu kuanzia msimu wa 2014-15 timu za ligi kuu zitakua zinasajiri wachezaji watatu tuu wa kigeni.

Kwa kulijua hilo Yanga imeamua kuchanga karata zake vzr ili kukwepa hasara ya kuwalipa wachezaji fidia ya kuachwa.

That's why wanamfukuzia mshambuliaji kutoka nigeria ambaye ilikua aende kujiunga na timu fulani ya Ureno lakini kutokana na dau la Yanga kua zuri kwake kaamua kuja Yanga tanzania tanzania.

Pia Yanga wamefanya usajiri huo maana wamepanga kufika mbali msimu huu ktk ligi ya mabingwa africa.

mkuu hapo kwa red siyo kwamba hiyo kanuni inaanza usajiri huu wa 2013-2014? nilisoma kitu kama hicho media fulani ingawa siikumbuki
 
mkuu hapo kwa red siyo kwamba hiyo kanuni inaanza usajiri huu wa 2013-2014? nilisoma kitu kama hicho media fulani ingawa siikumbuki
No.
Ni msimu wa 2014-15 ndio utaratibu huo utaanza.
 
Ubingwa kwa Yanga mbona kawaida sana!! Najua watanzania hawana wasiwasi juu ya furaha yao kwa kambi ya Jangwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom